Pre GE2025 Musiba alihoji Sarungi na Kabendera wangekuwa Rwanda au Uganda wangeachwa waichafue serikali? Maneno yake yamefanyiwa kazi?

Pre GE2025 Musiba alihoji Sarungi na Kabendera wangekuwa Rwanda au Uganda wangeachwa waichafue serikali? Maneno yake yamefanyiwa kazi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,



Katika mahojiano aliyofanya siku tano zilizopita Musiba alisema kuna vikundi ambavyo angependa kuishauri serikali ya Tanzania kwa jicho la tatu, kwani si wema na wameanza harakati za kuchafua na kuharibu taswira ya nchi yetu, ambapo kuna makachero wanaoshirikiana nao ili kukamilisha adhma yao.

Musiba amemtaja Jefrey Smith akishirikiana na Robert wakati uliopita akisema anaona sasa wamerudi tena, wanajiunga tena kwa kushirikiana na wakimbizi wa Tanzania akiwataja Kabendera, Sarungi na wengine, akishauri serikali iwalete nchini.

Musiba akauliza swali, kama ingekuwa Uganda, Rwanda, Urusi au Marekani wangeachwa? Kamtetea Kimambi, anasema sasa hivi amebadilika na kuwa mtu mwema! :BearLaugh: Ni kwasababu sasa hivi amewakalia koo CCM?

Kwahiyo hapa Musiba ni kama amesema wote aliyowataja warestishwe in peace?!
 
Ila tuwen tu wakweli tangia Maria ameanza harakat zake kipi ambacho kilicho badilika kwenye vichwa vya Watanzania? Ni ngumu sana kufanya harakat kama zake kwenye nchi za kiafrica na ukatoboa ni ngumu sana
 
Back
Top Bottom