Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Cyprian Musiba akizungumzia uteuzi wa wagombea CCM na ujio wa Tundu Lissu unavyoshawishi watu wa CCM kuhamia CHADEMA.
Soma: Rais Samia aligoma alipoambiwa atoke ili wajumbe wapige kura na kumpitisha. Hii ina maanisha CCM wengi hawamtaki?
"Ndani ya CCM kuna watu hawajakubali Rais Samia kuteuliwa kugombea, wachunguze sana hasa 'senior members'. na wasije wakapuuza maneno na tetesi wanazosikia italeta shida mwishoni lakini utaratibu uliofanyika haujakiuka Katiba ya CCM."
Soma: Rais Samia aligoma alipoambiwa atoke ili wajumbe wapige kura na kumpitisha. Hii ina maanisha CCM wengi hawamtaki?
"Ndani ya CCM kuna watu hawajakubali Rais Samia kuteuliwa kugombea, wachunguze sana hasa 'senior members'. na wasije wakapuuza maneno na tetesi wanazosikia italeta shida mwishoni lakini utaratibu uliofanyika haujakiuka Katiba ya CCM."