Nachokubali kenya ni kuwa ina ma producers wazuri sana japokua ni wachache kinachowakwamisha tu ni kitu kimoja ni selfishness ambacho wanacho hata wasanii....
Pia ina DJs wengi wenye skills wengine wamefika mbali zaidi kimataifa compared na huku mwetu TZ pia wana umoja sana tofauti na wa kwetu na wanasaidiana sana DJs wa Kenya..
Tatizo lao ni moja kwenye muziki wamebase kwenye local market sana, na nyimbo zao ni kama za aina moja, hawataki kuendana na kasi ya usasa katika muziki, Japokua wanaoimba HipHop/Trap wanajaroibu usasa kina Kaligraphy Jones n.k napenda sana HipHop/Traps za Kenya..