Msaada wa jina la wimbo na aliyeimba tafadhari
Shukrani kaka...... hii nyimbo imenikumbisha around 2009 kuna gyn nilikuwa nafanya zoezi so walikuwa wanaitumia kama background truck wakati wa zoeziJina la wimbo What is love, aliyeimba Haddaway.
I really like the song man.
We mtu hatari.
leo nilivyoboreka na kazi ...huu uzi umeniburudisha.....nimejikuta nimeangalia video nyingi kweli.
uwiii naipenda hii nyimbo.....
aiseee enzi hizo......nilikuwa wapi huu uzi umenipita hivi.
FA ndio mkali wa Rap Bongo, Yeah i said it man!
hii lazma mcheze jinsia mbili tofauti.......vipi upo tayari tucheze wote.?Hebu cheza basi kidogo tukuone.
uwiiiii.....my favorite song.
wow......huu wimbo nilikuwa from II.....my God asante mdada......ila kuna ule mwingine in those jeans.