Music Producers wakali kwenye bongo Fleva

Mtamile

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2011
Posts
2,838
Reaction score
1,274
Wakongwe

1. P-Funk Majani
2.Master Jay
3. Mika Mwamba
4.Complex (R.I.P)
5.Prof Ludigo
6...
7...

Wanaotamba kwa sasa

1. Marco Chali
2. Lamar
3. Hermy B
4. Man Walter
5. Q
6...
7...
 
Nimesikiliza nyimbo nyingi alizotengeneza mipancho,naona kama biti nyingi anaziedit za mbele
 
kuna producer na dj ndani ya studio mlijuwe hili kwanza.
 
kuna producer na dj ndani ya studio mlijuwe hili kwanza.

Mkuu katika hao nani ni Producer na yupi ni dj?? na hapa ni vigezo gani vinatumika kuwatofautisha??
 
Shedy Clever wajina huyu, anajua sana, si tumeona alivyompaisha Diamond kwa ngoma ya my no 1 hadi jamaa kuwekwa kwenye list ya WALK OF FAME kule hodlwd.
 
The only next producer after P funk ni Marco Chali.. kwa idadi ya ngoma nyingi alizotengeneza na kali karibia zote
 
Shedy Clever wajina huyu, anajua sana, si tumeona alivyompaisha Diamond kwa ngoma ya my no 1 hadi jamaa kuwekwa kwenye list ya WALK OF FAME kule hodlwd.
kabahatisha single mbili tu,ya ndomo na ya dyna......hatoe nyingine tuone
 
P. Funk kwa sasa anaendesha kozi ya Sound Engineering kwa maproducers wengi ila anafanya kwa awamu ambapo kozi uchukua zaidi ya 5 weeks-6, Ada ni Laki 5 na darasa uchukua wanafunzi 6-8 amewapanga kwa awamu ili waelewe vizuri pia ukizingatia darasa lipo kwake, wazo hili aliombwa na maproducers wengi tangia zamani ila kwa sasa P anaifanya. Ikumbukwe jamaa alipata elimu hiyo katika Chuo cha SAE-AMSTERDAM baada ya kumaliza Elimu ya sekondari pale IST. Source. Mdachi aka Dream Big.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…