Music Producers wakali kwenye bongo Fleva

The only next producer after P funk ni Marco Chali.. kwa idadi ya ngoma nyingi alizotengeneza na kali karibia zote

Ni kweli mkuu kuna kipindi nilozani Lamar ndo atakuwa the next Majani ila nadhani kwa sasa Lamar kapoa sana Marco chali kashika Usukani
 
Ni kweli mkuu kuna kipindi nilozani Lamar ndo atakuwa the next Majani ila nadhani kwa sasa Lamar kapoa sana Marco chali kashika Usukani

Lamar alikuja kwa kasi akapoa ila marco kaweza kumaintain status yake since 2006
 

Nimeipenda sana hii kitu nina imani itawajenga sana hasa Maproducer wachanga
 
Shedy Clever wajina huyu, anajua sana, si tumeona alivyompaisha Diamond kwa ngoma ya my no 1 hadi jamaa kuwekwa kwenye list ya WALK OF FAME kule hodlwd.
Producer kahit na nyimbo 1 mwaka mzima utasema naye mkali?
 
si haki kumsahau KGT Kwenye hyo list..

wasanii wengi wametoka kwa mkono wake..
mfano,ALLY KIBA,MR BLUE,PASHA,OMMY DIMPOZ..

KGT SHADEED IS MY BEST PRODUCER..
 
si haki kumsahau KGT Kwenye hyo list..

wasanii wengi wametoka kwa mkono wake..
mfano,ALLY KIBA,MR BLUE,PASHA,OMMY DIMPOZ..

KGT SHADEED IS MY BEST PRODUCER..

Uko sawa mkuu KGT yule wa G-Records
 
Kuna dogo mwingine anaitwa Mazuu. Anajitahidi sana. Ndi kawatoa Ney na Abdul Kiba
 
P Funk ndio producer mkali Bongo hii itagharimu muda kupata kipaji kama hiki.....Amekuwa DJ muda kabla hajazama kwenye production.....Dj Khalifan a.k.a P Funk hakunaga kama yeye Tanzania labda maproducer wa kwaya ndio wanaweza kumfunika.....Huyu jamaa akiwa DJ ana uwezo wa kusugua LP hatari tupu...refer nyimbo ya cheza kidogo ya JMO ule mkono huwezi sikia maproducer wa sasa wa hiphop wanajaribu hata robo....
 
marehemu Roy wa g.records jamaa alitengeneza ngoma nyingi sana za kina aby skills.Mr blue nyimbo kama gita na nyinginezo
 
Mimi kwangu the best ni p funk jamaa mkali huyu jamaa ndo alileta mapinduzi bongo kuna ngoma ya nature hili gemu da yaana dude halichuji jamaa ana touch za adabu hakuwa na sound ya kumtambulisha kama ngoma kagonga p funk tofauti na sasa lamar ana sound yake na pancho tofauti na p mpaka mtu amrushe katikati kwenye nyimbo ndo unajua kumbe kagonga majani dude kwa sasa bongo ni marco chali pekee ndo anajitahidi lakini lamar,panco hawa jamaa kwa sampling mpaka kero isingekuwa hawa clouds kubana kila sehehemu naona wanambania hadi p sasa ukifanya kwake ngoma hawataki kupiga lakini ipo siku tutakuja mjengoni humo full viboko
 
P funk majani , nampa heshima yake, then kuna huyu mzungu Fundi samweli dah jamaa anaweza balaa.

Refer nyimbo nyingi za weusi MF.sweet 16,ngoma nzito,
 

Uko sawa sawia mkuu bila kusahau ile ngoma ya Pig Black....nini mnataka mazee
 
Uko sawa sawia mkuu bila kusahau ile ngoma ya Pig Black....nini mnataka mazee
ina mana Mika mwamba mmemsahau Duke,Dazz Saidi comorien toka victanproduction. Bizzman da hatari hao watunakwa sasa Mr t na Messen nomaaa
 
Mmmh jamani kuna huyu mmoja anaitwa tudy Thomas hivi haiingii kwenye hyo list kweli ??
 
Wakongwe

1. P-Funk Majani
2.Master Jay
3. Mika Mwamba
4.Complex (R.I.P)
5.Prof Ludigo
6...
7...

Wanaotamba kwa sasa

1. Marco Chali
2. Lamar
3. Hermy B
4. Man Walter
5. Q
6...
7...
DNO dyuzer montesino music buza cape town tmk dsm dogo ana hatari balaa mkono wake umeshiba kinoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…