Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,693
- 1,702
Tumefungua Music Studio ya Kisasa.
Kama una kipaji cha kutunga na kuimba nyimbo na unadhamira ya kufanya kazi nzuri sana basi unakaribishwa.
Interest yetu ni kutengeneza Muziki utakaopendwa na watu wa rika zote watoto, wazee na vijana na kudumu kwa miaka mingi. Muziki unaokusudiwa utakuwa katika kiwango cha juu na pia utaibua vipaji vipya. Yupo Producer ambaye ni kijana mdogo na anayeijua kazi vyema.
Tupo Tancot House; Sokoine Drive/Pamba Road; Ground Floor; City Centre; Opposite Luther/Life House.
Mawasiliano yote yapitie barua pepe: jasonsltd@gmail.com
Kama una kipaji cha kutunga na kuimba nyimbo na unadhamira ya kufanya kazi nzuri sana basi unakaribishwa.
Interest yetu ni kutengeneza Muziki utakaopendwa na watu wa rika zote watoto, wazee na vijana na kudumu kwa miaka mingi. Muziki unaokusudiwa utakuwa katika kiwango cha juu na pia utaibua vipaji vipya. Yupo Producer ambaye ni kijana mdogo na anayeijua kazi vyema.
Tupo Tancot House; Sokoine Drive/Pamba Road; Ground Floor; City Centre; Opposite Luther/Life House.
Mawasiliano yote yapitie barua pepe: jasonsltd@gmail.com