Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Mkuu wa Wilaya ya Musoma, Juma Chikoka, ameendelea na ziara zake za "Mguu kwa Mguu", akiahidi kufika kila kijiji na mtaa wilayani humo ili kusikiliza na kutatua changamoto za wananchi.
Ziara hizi zinajumuisha ukaguzi wa miradi ya maendeleo, ambapo Chikoka ameeleza dhamira yake ya kutembelea vijiji vyote 68 vya Halmashauri ya Wilaya ya Musoma pamoja na mitaa yote 73 ya Manispaa ya Musoma.
Soma Pia: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Amesisitiza kuwa lengo lake ni kuhakikisha kila mwananchi anapata nafasi ya kueleza kero zake na kuona maendeleo yakitekelezwa kwa vitendo.
Ziara hizi zinajumuisha ukaguzi wa miradi ya maendeleo, ambapo Chikoka ameeleza dhamira yake ya kutembelea vijiji vyote 68 vya Halmashauri ya Wilaya ya Musoma pamoja na mitaa yote 73 ya Manispaa ya Musoma.
Soma Pia: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Amesisitiza kuwa lengo lake ni kuhakikisha kila mwananchi anapata nafasi ya kueleza kero zake na kuona maendeleo yakitekelezwa kwa vitendo.