Uchaguzi 2020 Musoma Mjini, jimbo linalokwenda kurudi linapostahili

denooJ

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2020
Posts
18,509
Reaction score
68,228
Salaa.

Ikumbukwe jimbo hili Mgombea wa Chadema mwaka 2015 alishindwa kwa figisu alizofanyiwa wakati wa majumuisho ya kura, sasa hali inavyoonekana safari hii Chadema wanaenda kulichukua jimbo mapema iwezekanavyo.

Mgombea wa CHADEMA wakati huu ameonekana kukubalika kwa kiasi kikubwa sana, hii inaoneaha jinsi wakazi wa Musoma walivyojilaumu kwa makosa yaliyofanyika 2015 na kuhakikisha mwaka huu hayatarudiwa tena.
 

Attachments

  • Ekv2-0aWkAAdG-w.jpg
    120 KB · Views: 1
Kumekuchaaaaa
 
Magufuli Limbukeni na mbinafsi sana huyu mzee we angalia kwao chato,baada ya kuwapa vitu muhimu yeye anaangalia vitu vya hovyo.
Hakuna wanakokubalika maccm nchi hii hata chato hawatakiwi
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…