Kweli kabisa yapo kote inawezekana mtoa mada hajawahi ishi mikoa mingine kwa hivyo asilaumiwe sana.Hayo mambo mbona kila pahala yapo mitaa ya uswahilini si Musoma tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kule ni kwetu lakini nilipakimbia baada ya kununua TV wakaja kuichukua usiku na mapanga nikacharangwa kwa sana hakufai utafutaji kwa sasa niko moro full amani
Bora wewe umekuwa mkweli, hongera sana. Wewe sio km wale Nshomile.Kule ni kwetu lakini nilipakimbia baada ya kununua TV wakaja kuichukua usiku na mapanga nikacharangwa kwa sana hakufai utafutaji kwa sasa niko moro full amani
Mkuu TV yako af bado waichukue na kukucharanga bila kuna shida yeyote?Kule ni kwetu lakini nilipakimbia baada ya kununua TV wakaja kuichukua usiku na mapanga nikacharangwa kwa sana hakufai utafutaji kwa sasa niko moro full amani
Yaani we acha tu! Nimebaki na machata mpaka jeshi wanikataa wakihisi rijambazi ila nashkuru life Good kwa watu natamani waje huku na Fuso sijui watabeba kipi waaache kipi? Maana vyote vizuriMkuu TV yako af bado waichukue na kukucharanga bila kuna shida yeyote?
Nilijaribu kujitetea wakanishushia Rungu la mzee pembe usoni nikazimia nilikuja kujitambua niko HospitalMkuu TV yako af bado waichukue na kukucharanga bila kuna shida yeyote?
Mkuu nshomile ndo akina nani hao???Bora wewe umekuwa mkweli, hongera sana. Wewe sio km wale Nshomile.