Musoma mtabadilika lini?

Hizo vitu ziko kila sehemu..........

ITAKE RADHI MUSOMA YANGU....... naipenda sana
 
Kiufupi ukivuka mto mara tu! Kwenda upande ule mpaka sirari huwezi kuta mmasai eti! Anafuga kwanza sijawahi ona masai Tarime Sijui shida ni nini?
Hii inshu ni ya kihistoria ,wanauadui uliorithisishwa.chanzo ni ng'ombe
 
Mulisya wewe Wa Ntarahamwe uliyetoroka kwenye makambi ya wakimbizi. Jionee fahari unya Rwanda wako, acha kuzuga na kujidai wewe ni Mkurya
Hilo neno mulisya ,shukuru halijui maana yake?. Hili neno liliwahi kumkost mtu pale nyasaka mwanza. Umelitamka umenkumbusha mbali.
 
Hizi ndio tabia hasa za kabira la wajita,wakurya hawanaga huo muda.
Kweli kabisa yapo kote inawezekana mtoa mada hajawahi ishi mikoa mingine kwa hivyo asilaumiwe sana.

Yaani we acha tu! Nimebaki na machata mpaka jeshi wanikataa wakihisi rijambazi ila nashkuru life Good kwa watu natamani waje huku na Fuso sijui watabeba kipi waaache kipi? Maana vyote vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…