Musoma: Watu wanne wadaiwa kubaka kisha kukimbilia Bwawani



Lazima wana history ya kukomoana, hapo huyo Mama ana mtu wake kati ya hao lazima.
 
Kama kweli wapo humo, wasimame hapo hapo ufukweni mpk wakizidiwa watoke wenyewe, either kwa miguu au kwa kuelea
Mikoa ya watu wapumbavu/wachawi/majambazi/wauaji/wabinafsi/uhuni/wanafiki/majungu/tabia za ovyo/walawiti/washenizwashezi/mamwinyi/roho mbaya/ n.k,n.k:
-Mara
-Arusha
-Tanga
-Kilimanjaro
-Pwani
-Geita
-Lindi
-Mwanza
-Simiyu
-Kigoma
-Mbeya
-Zanzibar [Unguja na Pemba]
-Mtwara

Mikoa watu fresh:
-Manyara
-Kagera
-Tabora
-Iringa
-Njombe
-Morogoro
-Ruvuma
-Singida
-Dodoma
-Rukwa
 
Ulitumia methodology gani katika huu utafiti wako?
 
Ni kawaida yao kujitetea, waliotorokea humo bwawani hawakuyakuta hayo magugu, matope na majani?
 
Hapo wangetupia kale kabomu ka mkono tu wamalize ushaidi
 
Wakurya sio watu.
 
Watu wamesomea uogeleaji na uokoaji ila wameshindwa kuokoa watu walioingia kwenye 18 zao😂😂😂

Hao wote wafukuzwe kazi
 

Rukwa wanaopiga wenzao radi saa 6 jua kali?!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…