Tisha-TOTO
JF-Expert Member
- Feb 10, 2010
- 1,175
- 604
Shalom!
Kwenye exclusive interview na gazeti la "Burudani" mapema wiki hii, Nicholaus Musonye katibu mkuu wa CECAFA amekiri kuwa Yanga na Simba ni timu zenye wapenzi wengi sana hapa nchini. Lakini akaongeza kwa kukiri kuwa Yanga inaonekana ina wafuasi wengi zaidi.
Labda ni assessmenet sahihi kwa kuzingatia kuwa huyu bwana amekuwa akiichukia sana Yanga tangu ilipotia mpira kwapani dhidi ya Simba mwaka ulee!!
Soma kipande hichi hapa cha interview...
===========================================
Swali:
Mashabiki wengi wa Yanga walikuwa awali wanakuchukia na kukuona mtu mbaya lakini baada ya kuirejesha timu hiyo walikupigia makofi. Hali hiyo unaizungumziaje?
Musonye:
Mimi nasema kwamba kwenye sheria lazima tufuate sheria, kitendo ambacho Yanga walikifanya kilikuwa kibaya kwa kukataza kuingiza timu yao kucheza na Simba. Lakini mambo hayo yamekwisha na wameomba msamaha na wamerejea na wamefanikiwa kuchukua ubingwa basi tuangalie mambo mengine yanayokuja.
Swali:
Umejifunza nini kuhusu soka kwa ujumla hapa nchini?
Musonye:
Mimi nimejifunza kwamba Watanzania wengi wanapenda soka hasa Simba na Yanga, lakini nimeona Yanga kuwa wana wapenzi wengi zaidi.
Jambo hili kwetu Kenya halipo nk, nk, nk, nk
Kwenye exclusive interview na gazeti la "Burudani" mapema wiki hii, Nicholaus Musonye katibu mkuu wa CECAFA amekiri kuwa Yanga na Simba ni timu zenye wapenzi wengi sana hapa nchini. Lakini akaongeza kwa kukiri kuwa Yanga inaonekana ina wafuasi wengi zaidi.
Labda ni assessmenet sahihi kwa kuzingatia kuwa huyu bwana amekuwa akiichukia sana Yanga tangu ilipotia mpira kwapani dhidi ya Simba mwaka ulee!!
Soma kipande hichi hapa cha interview...
===========================================
Swali:
Mashabiki wengi wa Yanga walikuwa awali wanakuchukia na kukuona mtu mbaya lakini baada ya kuirejesha timu hiyo walikupigia makofi. Hali hiyo unaizungumziaje?
Musonye:
Mimi nasema kwamba kwenye sheria lazima tufuate sheria, kitendo ambacho Yanga walikifanya kilikuwa kibaya kwa kukataza kuingiza timu yao kucheza na Simba. Lakini mambo hayo yamekwisha na wameomba msamaha na wamerejea na wamefanikiwa kuchukua ubingwa basi tuangalie mambo mengine yanayokuja.
Swali:
Umejifunza nini kuhusu soka kwa ujumla hapa nchini?
Musonye:
Mimi nimejifunza kwamba Watanzania wengi wanapenda soka hasa Simba na Yanga, lakini nimeona Yanga kuwa wana wapenzi wengi zaidi.
Jambo hili kwetu Kenya halipo nk, nk, nk, nk