JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi kauli kila mwaka wa uchaguzi utazisikia uchaguzi ukisha tu hutosikia tena kauli kama hizi.ameishauri Serikali kuangalia mikaba na kusaidia Wakandarasi wazawa kupata nafasi pia katika miradi mbalimbali,
Mkuu ukijenga Nyumba yako mwenyewe basi unaweza kumwambia fundi unavyotaka kujengewa. Nae fundi hujenga kwa malipo yako, uhuwezi kulipa million 200 halafu utegemee uimara wa Nyumba ya million 500.Anawasemea wakandarasi wapi?
Hawa wanaojenga miradi chini ya kiwango hadi aibu? Hawa ambao wakipewa mradi ndo hawaonekani site?
tutafanyaje ndiyo tikiti bovu lipo shambani mwako!Anawasemea wakandarasi wapi?
Hawa wanaojenga miradi chini ya kiwango hadi aibu? Hawa ambao wakipewa mradi ndo hawaonekani site?
Tuwakumbushe hawa viongozi wetu, kwani wao ni binadamu, wakizingua nasi tuwakumbushe wapiga kura kutokana na madudu yao.Hizi kauli kila mwaka wa uchaguzi utazisikia uchaguzi ukisha tu utosikia tena kauli kama hizi.