Naibu Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu ameishauri Serikali kuangalia mikaba na kusaidia Wakandarasi wazawa kupata nafasi pia katika miradi mbalimbali, ametoa ushauri huo kwa Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI, Dkt.Festo Dugange wakati wa Bunge la 12 Mkutano wa 18 Kikao cha 13, leo Februari 13, 2025
Mkuu ukijenga Nyumba yako mwenyewe basi unaweza kumwambia fundi unavyotaka kujengewa. Nae fundi hujenga kwa malipo yako, uhuwezi kulipa million 200 halafu utegemee uimara wa Nyumba ya million 500.
tutafanyaje ndiyo tikiti bovu lipo shambani mwako!
Tutiane moyo na tukosoane kwa hekima huenda hawa makandarasi wetu wakafanya vizuri katika kujenga taifa letu.