Kudadadeki
Member
- Oct 7, 2010
- 70
- 3
Kijana,Wakuu, mbona hamchangii hii thread ???
Kama hii thread ni "Scrap", then tell me so.....
It will be great feedback and nitapost thread mnazozipenda eg, mabinti kukaa uchi/ kutovaa kufuli, kufumaniwa/ kufakamiwa etc.
wakuu, mbona hamchangii hii thread ???
kama hii thread ni "scrap", then tell me so.....
it will be great feedback and nitapost thread mnazozipenda eg, mabinti kukaa uchi/ kutovaa kufuli, kufumaniwa/ kufakamiwa etc.
Wakuu, sijamsikia kwa muda sasa mtangazaji wa East African Radio Mussa Hussein.
Binafsi, nakifuatilia kwa ukaribu kipindi cha "Super Mix" (9am- 1pm weekdays). Siku za karibuni kipindi hicho kinaendeshwa na Comedian Zebwela na somebody Baruti (Shalobalo), je wana jamvi, kuna yeyote out there anayejua updates za Mussa ?
Nawakilisha !
Wakuu, mbona hamchangii hii thread ???
Kama hii thread ni "Scrap", then tell me so.....
It will be great feedback and nitapost thread mnazozipenda eg, mabinti kukaa uchi/ kutovaa kufuli, kufumaniwa/ kufakamiwa etc.
Kijana,
Nakuonya acha matusi!
Hapa si Uswazi ...right?
Heshimu wanajukwaa ili uheshimiwe!...Next time sitakuvumilia.
who is that??is he a musician?????
Nope, Radio Presenter. Pia uendesha kipindi cha "USWAZI" pale East African TV.
Hii sio JF niijuayo, ingekuwa ile niijuayo ungeshapata jibu muda mrefu wa maswali yako. Mussa Hussein alikuwa presenter pia kipindi cha USWAZI cha EATV, pia EA Radio. Ameacha kazi kwa sasa. sijui yupo wapi hata mimi.
Ukiona kimya hivi mkuu ujue kuw huyo mti si celeb kihivyo
Wewe mwenyewe ndo Musa husein,, unataka kujua kama ushakua celeb.
Hatukufahamu.
Wakuu, mbona hamchangii hii thread ???
Kama hii thread ni "Scrap", then tell me so.....
It will be great feedback and nitapost thread mnazozipenda eg, mabinti kukaa uchi/ kutovaa kufuli, kufumaniwa/ kufakamiwa etc.