Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Kabisa mkuu... Imekuwa kama darasa la watotoMlundikano wa watangazaji Wasafi umesababisha nikose muda wa kumsikiliza George Ambangile.
Anapewa muda mdogo sana.
Tatizo wana few sessions but presenters kibao... Muda wanao wakutosha ili kuwe na efficient utilization waongeze sessions kila mtu awe covered vizuriEti darasa la watoto, sijui wana mpango gani na hicho kipindi, ila naona wanakiharibu.
Tatizo wana few sessions but presenters kibao... Muda wanao wakutosha ili kuwe na efficient utilization waongeze sessions kila mtu awe covered vizuri
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Kweli ni analyst mzuri sana... Airtime tatizoUnless wana plan ya kufungua station au channel ya michezo tupu, otherwise ni matumizi mabaya ya rasilimali.
George ana vitu vingi vya kutuambia lakini hapati muda kabisa, jamaa huwa namwelewa sana.
SureNadhani watakuwa wanapata hizi reviews za wadau.
Watafanyia kazi probably.
uyu jamaa anajua sana
Sijajua kwanini asitafute part time job pale azam mediauyu jamaa anajua sana
No way ndio kipindi maarufu kuliko vipindi vyote pale.....Niliwahi kumsikia Jamal meneja vipindi vya tv Wana mpango wa kuwa na kipindi cha michezo kwenye tv.. nadhani tv yao ikifunguliwa wataanzisha na wengine watabaki kwenye tv.