Mussa wa uswazi yuko wapi?

Status
Not open for further replies.
ha ha una maanisha Shufaa kifaruhande? demu ana ngeli nzuri yule..anajiita Meena Brilliant Keeka
Umeona eh!yule demu ana ngeli poa xana yule,pia anafanya airtel live every friday on EATV
 
Yaani unamfukuza mtu kazi kisa ni shoga?Kama hzi sababu zitakuwa kweli, basi huu ni uonevu. ushoga una-affect vp utendaji wa kazi?? Labda hilo la unga bt sio kuhisi mtu ni shoga halafu unamtimua kazi. BTW mashoga pia ni watu kama sisi.
<br />
<br />
ushawagawia wangapi wa jinsia yake..go to hell all pro-gay acts
 
what happened to benefits of the doubts??????????
 
Huyu Jamaa anayejiita Ruge atosheki tuuu???? Kila sehemu yupo daa hatareeeeeee!!!! Haya makampuni mengi yana matatizo dhidi ya wafanyakazi wake,ila watu wa nje hamjui tu......
 
Sisi hatujui labda wewe SHOGA utufamishe kama hau affect kitu.

You can say what you want, but you know what I mean and msg, sent.

Usotolee stress zako kwa mwanamme mwenzako kwa kumpakazia shoga, hata kama Musa Shoga wewe inakuhusu nini?? ningekuona wa maana kama ungekuwa against mafisadi wanaoifilisi nchi na sio mtu unayemhisi kuwa shoga. Grow up.

BTW, shoga ni wewe na familia yako.
 
<font color="#ff0000"><font size="4"><b>ha ha ha una maanisha Shufaa kifaruhande? demu ana ngeli nzuri yule..anajiita Meena Brilliant Keeka</b></font></font>
Yule dada napenda sana anavyotangaza, sijui kwa nini ni invisible!
 
<font size="4"><font color="#ff0000"><b><br />
<br />
kampuni inaitwa ONE PLUS communication ni ya Ruge mutahaba ipo mikocheni B ni PR agency MD wake ni fina mango a.k.a kimada wa Ruge..</b></font></font>
<br />
<br />
one plus pia ndio inaendesha tuzo za kili kwa sasa..
 

Mashoga kwa maneno.
 
Hapa sina cha kuchangia. Gnyte.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…