Must everyone reconcile with Ruge before their return?

serio

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2011
Posts
7,340
Reaction score
4,734

Jamaa amepania kurudi, and I believe he can do wonders. kaongea kwa uchungu pia..!!
Atleast he has confessed that Ruge ndo tatizo sugu against maendeleo yao.
 
Last edited by a moderator:
Wasanii wabongo wakijitambua watafika mbali sana kimaisha tatizo hawajiamini kama wanaweza bila kuwa nyuma ya mtu flani wange ji organize wakaanzisha chama cha kusimamia kazi zao hata air time wawe wanalipwa lakini wao wanaona bila Ruge hawafanikiwi kitu kingine wakishakuwa maarufu wanaanza kujisahau na kutumia madawa hapo lazima tu upotee kwakweli
 

kweli kabisa
 
kwanza wao kwa wao hawa aminiani....ndo maana makundi yanavunjika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…