KERO MUST: NHIF wamegoma kutoa control number ya kuhuisha kifurushi mpaka matokeo ya Sup yatoke, tumeambiwa tutibiwe kwa pesa taslimu

KERO MUST: NHIF wamegoma kutoa control number ya kuhuisha kifurushi mpaka matokeo ya Sup yatoke, tumeambiwa tutibiwe kwa pesa taslimu

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Naomba mtusaidie kuhusu NHIF hasa kwa wanafunzi wa MUST. Muda wa kadi umeisha tarehe 8/10/2024, wanasema hawawezi kutoa control number hadi matokeo ya sup yatoke, sasa kwa hiki kipindi sisi wateja wao wanatuambia tukatibiwe kwa cash

Tunaomba waangalie namna nzuri si hivi kuna watu mwaka nzima hawajatumia kadi na walikuwa wamelipa so, pesa yao imeenda bure, wanataka kulipia kupata huduma, bado mambo yanakuwa mengi

Hayo matokeo yanakadiriwa kutoka tar28/10, sasa mtu asubiri siku 20 ili apate huduma?

Wengine wapo kwenye matibabu hospitalini kwamba hawawaoni?
 
Back
Top Bottom