King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
weka picha banaaa!
AFTER AND BEFORE!
lol!
mwe ila mi niliogopa alivopunguaaaa!kha!
muyo mustafa ni nani wakuu?
Mtangazaji wa luninga?
wa bendi gani?mpiga kinanda
yale manyama yalipururuka ghafla bin vuu, nini kilimkuta?Yupo kama alivyokuwa mwanzo bonge.
wa bendi gani?
Umofia kwenu,
Nakumbuka miaka kama mi4 iliyopita watu tulikuwa tunamshangaa mustafa kwa jinsi alivyopungua na kuwa mwembamba hatari,lakini cha kushangaza amerudi tena kwenye ubonge nyanya,vp tena mustafa umeshindwa kujimantain? Au ubonge ni hasili yenu?
Whats so special of him to the public?
Umofia kwenu,
Nakumbuka miaka kama mi4 iliyopita watu tulikuwa tunamshangaa mustafa kwa jinsi alivyopungua na kuwa mwembamba hatari,lakini cha kushangaza amerudi tena kwenye ubonge nyanya,vp tena mustafa umeshindwa kujimantain? Au ubonge ni hasili yenu?