King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Umofia kwenu,
Nakumbuka miaka kama mi4 iliyopita watu tulikuwa tunamshangaa mustafa kwa jinsi alivyopungua na kuwa mwembamba hatari,lakini cha kushangaza amerudi tena kwenye ubonge nyanya,vp tena mustafa umeshindwa kujimantain? Au ubonge ni hasili yenu?
Nakumbuka miaka kama mi4 iliyopita watu tulikuwa tunamshangaa mustafa kwa jinsi alivyopungua na kuwa mwembamba hatari,lakini cha kushangaza amerudi tena kwenye ubonge nyanya,vp tena mustafa umeshindwa kujimantain? Au ubonge ni hasili yenu?