Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 10,568
- 9,710
Wakuu hembu wenye kujua hili watupe habari.
Hili nimeliona muda mrefu na pia Kuna updtae nimezipata hivi karibu nazimekuwa zikiendelea kutokea
.
Kwanza ni Miongoni mwa BANK ninazozikubali sana kwenye huduma,na msaada kwenye tataizo.Wanasaidia sana pindi mteja anapokuwa na Tatizo.Pongezi sana kwa Staffs wa Barclays bank hili mpo vizuri sana.Hili pia nimeliona pale CRDB
a)Matawi Kufungwa
Matawi mengi sana yalifungwa na accounts kuhamishwa matawi mengine,kwa Zanzibar kisiwa cha Pemba kama sikosei nako tawi lilifungwa nakufanya Pemba kutokuwa na Bank hii na wakati watu walifungua accounts zao,sasa kwa maana hiyo wakitaka kutoa pesa mpaka wapande ndege au boat kuja Zanzibar,hii kali.
Upande wa Unguja ipo vizuri tawi la Darajani na Kinazini makao makuu wapo safi,kufungwa kwa tawi la Mwanakwerekwe sio tatizo maana sio mbali na matawi mengine.
b)Wafanyakazi kupunguzwa
Wafanyakazi wengi sana wamepunguzwa kazi,hii imekuwa ikiendelea kila kukicha,maana kuna sehem unakuta umeenda mwezi uliopita ukirudi mtu amepungua na mwingine kahamishwa kuziba gepu kwingine.Tunajua kwamba Teknolojia ya Ma Bank imekuwa kwa kasi sana na kufanya kutokuhitaji wafanyakazi wengi,lakini hapa kuna kitu.
c)Kuhusu ku deposit
Hii imekuwa tata baadhi ya Branches na hata Kenya niliiona pia kwamba wanataka mtu awe na account kwao ili afanye transfers na sio Cash Deposit,ila baadhi ya matawi au hata baadhi ya wafanyakazi pia huweza kumsaidia mtu na kumruhusu ku deposit kwa mtu mwingine bila kuwa na account kwao ili iwe transfered.Hapa Tata kidogo
d)Mfumo unaokuja wa malipo.
Hii nimeipata,kwamba wanaanzisha mfumo wa Cheques,yaani hata kama unatoa lazima utumie cheque,sasa hii kwa sasa inapotezewa ila nasikia kwamba ikifika muda itazuiliwa ili ukitaka kutoa hata kama ni wewe mwenyewe unaandika cheque.
Sasa najiuliza hiyo bank si itajaa makaratais?na ile Leaf moja ya bank inalipiwa pesa.Hapo vipi
e)Mikopo
Habari zilizoo ni kwamba wamezuia Mikopo kipindi kirefu sana,yaani hakuna mikopo tena.Sijui kwa wakumbwa mlango wa nyuma
f)Overdrafts
Hii ilikuwa kwa watu maalum tu,na imezuiliwa tena hakuna tena,ila kwa masharti ya kuwa na zaidi ya 50m na uiweke kwao kwa muda wa miezi sita ndio upate access ya overdraft na kwa muda maalum.
Maana nasikia overdrafts ilikuwa na ni kwa majeshi ila na wao pia wameziwiliwa kitambo sana.So,hakuna huduma hii
Wakuu hizi issue nimezisikia na kufuatili muda kiasi,ila bado kila muda utata unazidi.
Wenye kujua zaidi wafunguke
Hili nimeliona muda mrefu na pia Kuna updtae nimezipata hivi karibu nazimekuwa zikiendelea kutokea
.
Kwanza ni Miongoni mwa BANK ninazozikubali sana kwenye huduma,na msaada kwenye tataizo.Wanasaidia sana pindi mteja anapokuwa na Tatizo.Pongezi sana kwa Staffs wa Barclays bank hili mpo vizuri sana.Hili pia nimeliona pale CRDB
a)Matawi Kufungwa
Matawi mengi sana yalifungwa na accounts kuhamishwa matawi mengine,kwa Zanzibar kisiwa cha Pemba kama sikosei nako tawi lilifungwa nakufanya Pemba kutokuwa na Bank hii na wakati watu walifungua accounts zao,sasa kwa maana hiyo wakitaka kutoa pesa mpaka wapande ndege au boat kuja Zanzibar,hii kali.
Upande wa Unguja ipo vizuri tawi la Darajani na Kinazini makao makuu wapo safi,kufungwa kwa tawi la Mwanakwerekwe sio tatizo maana sio mbali na matawi mengine.
b)Wafanyakazi kupunguzwa
Wafanyakazi wengi sana wamepunguzwa kazi,hii imekuwa ikiendelea kila kukicha,maana kuna sehem unakuta umeenda mwezi uliopita ukirudi mtu amepungua na mwingine kahamishwa kuziba gepu kwingine.Tunajua kwamba Teknolojia ya Ma Bank imekuwa kwa kasi sana na kufanya kutokuhitaji wafanyakazi wengi,lakini hapa kuna kitu.
c)Kuhusu ku deposit
Hii imekuwa tata baadhi ya Branches na hata Kenya niliiona pia kwamba wanataka mtu awe na account kwao ili afanye transfers na sio Cash Deposit,ila baadhi ya matawi au hata baadhi ya wafanyakazi pia huweza kumsaidia mtu na kumruhusu ku deposit kwa mtu mwingine bila kuwa na account kwao ili iwe transfered.Hapa Tata kidogo
d)Mfumo unaokuja wa malipo.
Hii nimeipata,kwamba wanaanzisha mfumo wa Cheques,yaani hata kama unatoa lazima utumie cheque,sasa hii kwa sasa inapotezewa ila nasikia kwamba ikifika muda itazuiliwa ili ukitaka kutoa hata kama ni wewe mwenyewe unaandika cheque.
Sasa najiuliza hiyo bank si itajaa makaratais?na ile Leaf moja ya bank inalipiwa pesa.Hapo vipi
e)Mikopo
Habari zilizoo ni kwamba wamezuia Mikopo kipindi kirefu sana,yaani hakuna mikopo tena.Sijui kwa wakumbwa mlango wa nyuma
f)Overdrafts
Hii ilikuwa kwa watu maalum tu,na imezuiliwa tena hakuna tena,ila kwa masharti ya kuwa na zaidi ya 50m na uiweke kwao kwa muda wa miezi sita ndio upate access ya overdraft na kwa muda maalum.
Maana nasikia overdrafts ilikuwa na ni kwa majeshi ila na wao pia wameziwiliwa kitambo sana.So,hakuna huduma hii
Wakuu hizi issue nimezisikia na kufuatili muda kiasi,ila bado kila muda utata unazidi.
Wenye kujua zaidi wafunguke