U'r a real gentleman!take it from me bro.... no player' no happy woman on any street
flirting and playing is what we learnt!! kuanzia bustani ya eden hadi zozote zile duniani
I like dem players, but my age has passed me to be a player, I WAS A PLAYER!
Kaka kuitwa utaitwa tu,Ruta,are you a player?
Na je kuna ubaya gani kuwa player,kwani unawabaki,si wanaingia wenyewe 18 zako? Mfano bishanga uongo mambo yangu na nanilii kule arusha kwa wasaga mahindi karibu yananyooka,sasa nikininilinyu mtaniita player?
Ki ukweli kabisa lazima tujue kuwa hawa wenzetu ni wataalam wa kusikiliza utamu tena wa maneno tu badala ya kupata utamu vitu wanavyotaka.
Sasa wakisikiliza wakanogewa wanaishia kutoa utamu kwa wanaotaka kupata utamu.
Unakuta mtu anasikiliza mistari ya mtu kwa saa moja au nusu saa na anaishia kukubali kutoa utamu,
baada ya jamaa kupata utamu wake na kusepa nyuma yanabaki majuto na lawama!.
Lawama za nini? wakati mmepeana kila mtu alichotaka tena (live) kwa ushirikiano, bega kwa bega.
Ukiweza kuzigusa "hot buttons" za muhusika why asichanganyikiwe? Kama mtu anapenda gari, hata la kuazima tu ili mradi aingie kingi....kama anapenda kula serena na kule sijui wapi, hata mkopo mtu atachukua. Mwisho wa siku hakuna wa kumlaumu mtu isipokuwa ni shauku na tamaa za roho zetu.
hili ia hot-buttons limenigusa kweli Ndahani linahitaji muda wa kutosha nilitengenezee tenzi yake ya mahaba........lol
Ruta,are you a player?
Na je kuna ubaya gani kuwa player,kwani unawabaki,si wanaingia wenyewe 18 zako? Mfano bishanga uongo mambo yangu na nanilii kule arusha kwa wasaga mahindi karibu yananyooka,sasa nikininilinyu mtaniita player?
Kuna amateur na professional players. Kumbuka tu hilo.
Ruta hatutendi haki kuna mapungufu makubwa sana!
page inakaribia kuisha sioni mchango wa upande wa pili wameenda wapi?
Angalau basi waseme kama hawataki tuijadili hii topic!.
Looooooooooooooooooooo....!Kyaiyembe hivi sababu huijui kwanini wameingia mitini? Ni kwa sababu they are in love with a Player they did him for therapeutic reasons.......................
take it from me bro.... no player' no happy woman on any street
flirting and playing is what we learnt!! kuanzia bustani ya eden hadi zozote zile duniani
I like dem players, but my age has passed me to be a player, I WAS A PLAYER!