Mustapha(N'golo Kante) wa Yanga B nakutabiria makubwa kwenye hii michuano ya Mapinduzi Cup

Manofu

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2018
Posts
1,317
Reaction score
2,020
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni nimeangalia kipindi kimoja tu cha mechi kati ya KVZ vs YANGA ila uyu dogo anaitwa mustapha a.k.a N'golo Kante ni balaa.

Yani skills kama zote, ni swala la muda tu hii michuano ikiisha dogo atakuwa level nyingine kabisa.
 
Kwa mpira achezao, uwezekano mkubwa hawezi fika mbali. Anapaka rangi nyingi kisha anashangiliwa, kichwa kinazidi sikio anaishia kama Ngasa.
 
Talent anayo atafika mbali muhimu awe na nidhamu na aache starehe
 
Kwa mpira achezao, uwezekano mkubwa hawezi fika mbali. Anapaka rangi nyingi kisha anashangiliwa, kichwa kinazidi sikio anaishia kama Ngasa.

hahahahahaha...kichwa kuzidi sikio ni kawaida, ila sikio kuzidi kichwa hapo ndipo lilipo tatizo...ehtehteteh
 
Dogo atafika mbali sana akipata good management
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…