Musturbation

Musturbation

Hivi kuna hasara gan za kufanya musturbation.....
Hakuna Hasara

Ila kuna faida nyingi sana:

1. Gono na UTI utazisikia kwenye bomba
2. Mizinga Bye Bye
3. Ngoma utazisikia Chanika kwa Wazaramo
4. Hutakojoa mkojo wenye Usaha tena
5. Unamwaga mda wowote ule, bao zozote zile
6. Unaweza adijasti mkono kulingana na matakwa yako ie: mnato, bwawa au kisima

Nawasilisha
 
Habari za mchana sana JF Samahan nilikuwa naomba kuuliza kwa mwenye ujuzi na hili anaweza kunisaidia .....
Hivi kuna hasara gan za kufanya musturbation.....


Itafikia wakati hutaona ladha kwa mbele badala yake utaanza kutafutiwa ladha kwa nyuma na ile choo ya M20 itakua inauzwa buku wakati muafaka
 
Habari za mchana sana JF Samahan nilikuwa naomba kuuliza kwa mwenye ujuzi na hili anaweza kunisaidia .....
Hivi kuna hasara gan za kufanya musturbation.....
Habari za mchana sana JF Samahan nilikuwa naomba kuuliza kwa mwenye ujuzi na hili anaweza kunisaidia .....
Hivi kuna hasara gan za kufanya musturbation.....
Erectile dysfunction.
Premature ejaculation.

Testicular atrophy.

Hapa Niko kitaalamu zaidi kwenye taaluma yangu.
 
Master ina njia nying nying sana kwahyo inategemea unafanya kwa njia ipi

Mfano kupiga master ukiwa bafuni unaoga tena maji ya baridi hii njia lazima ikuletee hasara za kuwa na uume legevu

Master linatakiwa lipigwe ukiwa ndani ya shuka na uwe kwenye chumba cha peke yako (usitumie kilainishi chochote yaan iwe ni contact ya ngozi ya kiganja na mbo)ili uwe na uhuru wa kutosha na uvute hisia za wanawake mbali mbali ambao huwa wanakuvutia na itapendeza kama ukiweza kuhimili kupiga kwa zaidi ya dk 30 bila kutoa wachaga,huo utamu wa hapo mbususu utaziona kama kidonda
 
Yani ume join leo halafu topic ya kwanza ni puli.

Oya we mwamba utakuwa umekuwa addicted sana.

Kujibu swali lako.

Puli ukifuatilia tafiti za kisayansi zinadai hakuna side effects kiafya zaidi ina faida kwasababu inaweza kukusaidia kuepukana na prostate cancer.

Sayansi inadai pia puli inaweza kuimprove afya yako ya akili. (Tesla hakuoa)


Ila wao madhara wanayoyatambua ni yale yanayotokana na kuendeshwa na puli kiasi ushindwe kufanya mambo yako eidha kuhudhuria vikao muhimu au tukio lolote la muhimu.

Inshort hakuna maelezo yeyote ya kisayansi yanayoweka wazi madhara ya puli kwenye afya au uwezo wa kupungua nguvu za kiume kwenye tendo.

Ila ukumbuke kuwa Sayansi inamtindo wa kujikosoa.

Vipi miaka ya mbeleni sayansi ikaja kusema haikuwa sahihi kwenye tafiti zake?

So hapo mi naona kipimo kiwe ni wewe na sio kuangalia sayansi inasemaje.

Kama unaona unapiga puli na vitu vyako vinaenda vizuri bila kupata mkwamo wowote basi fresh puli inakufaa.

Ila kama unaona tangu uanze puli basi kuna vitu vimeanza kwenda ndivyo sivyo kama uwezo wa kuhimili tendo kwa muda mrefu umepungua basi hauwezi kuisubiri sayansi ikuamulie kwenye hilo.
 
Huwezi kukutwa na half Kama hii.
FB_IMG_16852760378943056.jpg
 
Kwa baadhi yetu sisi wanaume, sio wote;

Hakuna hisia nzuri kama ukae zaidi ya miezi 2 bila Sex (Wala Nyeto). Ile ukiamka asubuhi, nyege zipo 4G na mashine imesimama kama inataka kuchomoka! Halafu ni Daily!

Lazima ukae kitandani zaidi ya dakika 20 kwanza, jamaa ashushe jazba chini, kabla hujatoka na kwenda kuoga.
 
Master ina njia nying nying sana kwahyo inategemea unafanya kwa njia ipi

Mfano kupiga master ukiwa bafuni unaoga tena maji ya baridi hii njia lazima ikuletee hasara za kuwa na uume legevu

Master linatakiwa lipigwe ukiwa ndani ya shuka na uwe kwenye chumba cha peke yako (usitumie kilainishi chochote yaan iwe ni contact ya ngozi ya kiganja na mbo)ili uwe na uhuru wa kutosha na uvute hisia za wanawake mbali mbali ambao huwa wanakuvutia na itapendeza kama ukiweza kuhimili kupiga kwa zaidi ya dk 30 bila kutoa wachaga,huo utamu wa hapo mbususu utaziona kama kidonda
hakuna namna nyeto inaweza kureplace pussy aiseee.,...
 
Yani ume join leo hakafu topic ya kwanza ni puli.

Oya we mwamba utakuwa umekuwa addicted sana.

Kujibu swali lako.

Puli ukifuatilia tafiti za kisayansi zinadai hakuna side effects kiafya zaidi ina faida kwasababu inaweza kukusaidi kuepukana na prostate cancer.

Sayansi inadai pia puli inaweza kuimprove afya yako ya akili. (Tesla hakuoa)


Ila wao madhara wanayoyatambua ni yale yanayotokana na kuendeshwa na puli kiasi ushindwe kufanya mambo yako eidha kuhudhuria vikao muhimu au tukio lolote la muhimu.

Inshort hakuna maelezo yeyote ya kisayansi yanayoweka wazi madhara ya puli kwenye afya au uwezo wa kupungua nguvu za kiume kwenye tendo.

Ila ukumbuke kuwa Sayansi inamtindo wa kujikosoa.

Vipi miaka ya mbeleni sayansi ikaja kusema haikuwa sahihi kwenye tafiti zake?

So hapo mi naona kipimo kiwe ni wewe na sio kuangalia sayansi inasemaje.

Kama unaona unapiga puli na vitu vyako vinaenda vizuri bila kupata mkwamo wowote basi fresh puli inakufaa.

Ila kama unaona tangu uanze puli basi kuna vitu vimeanza kwenda ndivyo sivyo kama uwezo wa kuhimili tendo kwa muda mrefu umepungua basi hauwezi kuisubiri sayansi ikuanulie kwenye hilo.
uzi ufungwe.
 
Back
Top Bottom