Tetesi: Muswada fao la kukosa ajira

ngoja nijaribu kufuata pesa yangu ppf niliacha kazi kitambo sna.
 
Mkuu sheria hiyo inatusaidiaje sisi tulioondolewa ktk daftari la utumishi kwa kukosa baadhi ya sifa!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa watu bhana sasa mimi nimefanya kazi miaka miwili si wanipe tu hela yangu nikalime nyanya
Lengo kubwa hasa la haya mambo yooote ni kudhulumu watu wa scenario ya kwako maana suala la kusubiri tujisenti kwa miaka 20 wanajua utagive up.
 
Nailaani siku ile niliposaini NSSF...matusi matusi matusi!
 
Ni basic salary
haiko wazi hii, usikute ni net salary, maana hawa watu akili zao wanazijua wao wenyewe...maana mshahara wa mwisho ina maana pana sana bila ufafanuzi.

Senti Fromu Mai Nokia Kitochi.
 

Tunaibiwa hivi hivi. Mhhhhhhh yiiiiiiii Iam not crying!!
Ukweli ni kwamba SSRA wanataka kutuibia. Basi. Lingine ni bla bla tu. Cursed PSSSF cursed NSSF. To hell with fao la kuukosa ajira. Ni ujinga mtupu ukokotozi wake. Pesa yangu halafu mnipangie! Hii ni wizi Irene Kisaka and you know it!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…