Foundation
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 1,421
- 606
Sifahamu kama hao wabunge wana akili timamu kujadili suala kama hili.poleni sana akina mama wa Misri
Nyie,is ths serious?kidini au kiutamaduni!
Ngastuka!
yani kweli naanza amini kiama kimekaribia.... Hii dhambi hata shetani anaweza akawa anaiogopa