Muswada si lazima kila mtu au akubali au aukatae kama ulivyo, kila mtu ana haki ya maoni yake. Na hiyo ndio demokrasia.
Ukiachana na mswada wa katiba, leo hii kuna watu wanamini mungu Binadam, mungu N'gombe, mungu jua, mungu anaeonekana, mungu asiyeonekana na wapo wasioamini kabisa kuhusu mungu. Huyo ndio binaadam. Ingekuwa wote tunakubaliana kwa kila kitu tungekuwa ni ma-"robot".
Nikimaanisha kuwa sioni sababu kwa nini huyo professor akubaliane na yote wanayosema Shivji, Ulimwengu na mwingine yoyote, kumbuka Shivji na Ulimwengu pia ni wana CCM lakini na wao wana maoni yao binafsi.