Muswada wa kupunguza siku za kazi kuwa nne badala ya tano watinga Bunge la wawakilishi, nimemkumbuka Mzee Mwinyi

Muswada wa kupunguza siku za kazi kuwa nne badala ya tano watinga Bunge la wawakilishi, nimemkumbuka Mzee Mwinyi

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Mark Takano amewasilisha muswada Bunge la wawakilishi Califonia akitaka siku za kazi ziwe nne iwe sheria ya Kitaifa Nchini Marekani.

Takano amesema jambo hilo litaongeza ubora wa maisha kwa wafanyakazi kwani itawaongezea muda wa kuishi, kucheza na kuyafurahia maisha nje ya kazi bila kupoteza kipato. Utafiti unasema itaongeza furaha kwa wafanyakazi.

Nikawaza hili jambo lingetua kwenye meza ya Mzee Mwinyi, Hapo Spika angekuwa mzee wa Kongwa!
 
Mmh sisi wakuu wa wilaya wanatuambia tuwai kazini saa 1:00 asubui na tuchelewe kutoka na wengine tunatokaga kazini saa 3 usiku tukiandaa taarifa maana anataka umpe taarifa saa 1:00 asubui
 
Back
Top Bottom