Muswada wa Maendeleo ya Jimbo Umekuwa Sheria!

Muswada wa Maendeleo ya Jimbo Umekuwa Sheria!

Buchanan

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2009
Posts
13,192
Reaction score
1,972
Tarehe 27 Oktoba 2009 Spika 6 aliliambia Bunge kwamba Mh Rais ametoa kibali na kwamba The Constituencies Development Catalyst Fund Bill, 2009 imeshakuwa Sheria ya Nchi na Sheria hiyo itaitwa The Constituencies Development Catalyst Fund Act, Na. 16 wa mwaka 2009! WanaJF mlionyesha wasiwasi wenu juu ya huu mfuko lakini ndio hivyo imeshakuwa ni mojawapo ya Sheria za nchi. Kilichobaki ni kusubiri juu ya matumizi hasa ya mfuko huo!
 
Learned kakaz n dadaz kulikoni, hamna in put yoyote?
 
Back
Top Bottom