Muswada wa mawasiliano uliopitishwa,...

Kisoda2

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2008
Posts
2,475
Reaction score
745
Wadau naombeni kupata fafanuzi wa huu muswada ulopitishwa hivi karibuni.
Ndani ya muswada huu kuna kipengele kinasema kwamba;Mtu yeyote ataketumia line ya simu ambayo haijasajiliwa baada ya muda wa usajili kwisha atatozwa faini ya TZS1500,000/=
Swali linakuja hapa,huyu wanaemtoza hiyo faini ni halali kwake ama hivyo faini inastahili watozwe wenye mitandao hiyo(makampuni ya simu)kwa kuruhusu line kuendelea kutumia?

Naomba kuwasilisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…