bornthelast
Member
- Jul 11, 2022
- 24
- 15
Habarini wakuu,
Naomba kuuliza kama yupo mwenye kufahamu mutual funds(kama vile UTT nchini tanzania) kwa nje ya nchi (esp. Marekani & Uingereza) ambazo zinaruhusu foreigners kuinvest atupe mwangaza watu wachangamkie fursa.
Asanteni
Naomba kuuliza kama yupo mwenye kufahamu mutual funds(kama vile UTT nchini tanzania) kwa nje ya nchi (esp. Marekani & Uingereza) ambazo zinaruhusu foreigners kuinvest atupe mwangaza watu wachangamkie fursa.
Asanteni