Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio anaruhusiwa muhimu agate vigezo ikiwemo kumpa ajira mfamasia, endapo wewe ni nurse ndio umeuliza hili swali basi una safari ndefu sana ya kuongeza akili na maarifa ya kujitambua hasa kwenye tasnia hio umevamiaMuuguzi ngazi ya diploma, naombeni maoni yenu wakuu.
Duka la dawa la kiwango gani? Kama ni zile Duka la Dawa Baridi, mtu yeyote anaruhusiwa kuwa nayo. Baada ya kupitia mafunzo na kukidhi vigezo vingine vinavyohitajika.Muuguzi ngazi ya diploma, naombeni maoni yenu wakuu.
Kama hajakuomba mtaji ni haki yake.Muuguzi ngazi ya diploma, naombeni maoni yenu wakuu.
Kuna tofauti kati ya Duka dawa Baridi na Pharmacy ?Duka la dawa la kiwango gani? Kama ni zile Duka la Dawa Baridi, mtu yeyote anaruhusiwa kuwa nayo. Baada ya kupitia mafunzo na kukidhi vigezo vingine vinavyohitajika.
Kama ni Pharmacy, basi atapaswa kumtafuta Mfamasia. Leseni yake itumike kuomba kibali cha kufungua pharmacy. Gharama za malipo zitakuwa makubaliano yao.
Ahaa,, kumbe ni hivo. Maana me ni la kawaida tu ndilo natakaDuka la dawa la kiwango gani? Kama ni zile Duka la Dawa Baridi, mtu yeyote anaruhusiwa kuwa nayo. Baada ya kupitia mafunzo na kukidhi vigezo vingine vinavyohitajika.
Kama ni Pharmacy, basi atapaswa kumtafuta Mfamasia. Leseni yake itumike kuomba kibali cha kufungua pharmacy. Gharama za malipo zitakuwa makubaliano yao.