Muuguzi ni nani? Anautofauti gani na wahudumu wengine wa afya?

Ntiyakama

Member
Joined
Sep 19, 2021
Posts
32
Reaction score
37
Muuguzi (Nurse) ni nani?

Anafanya kazi gani haswa?

Anautofauti gani na wahudumu wengine wa afya?
 
Muuguzi (Nurse) ni nani?

Anafanya kazi gani haswa?

Anautofauti gani na wahudumu wengine wa afya?
Muuguzi Kwa kiingereza ni Nurse.

Basic roles yake ni Care giver .

Anafanya Kazi katika Department zote Hospital Ukiachana na mahabara, radiologist na pharmacy.

Op thietre , Labour,ICU,in patients department,out patient department, Dental clinics,mental health institute,

So Anaplay Role Kubwa Kwa maelezo ya Daktari.
 
Wakati niko mtoto nilikua najua nesi ni mke wa daktari..kumbe kuna manesi wanaume na nikada yenye heshima na utaalamu mzuri kwaajili ya kuhudumia wagonjwa ili wapone vizri waendelee na majukumu yao ya kulijenga taifa.

Kongole kwenu wauguzi wote kwa kazi nzuri ila acheni rushwa za rejareja mnaumiza wagonjwa..kama mnataka hela nendeni kafanye biashara.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mahabara ndio kitu gani..kwani huko shuleni mlienda kusomea ujinga?

#MaendeleoHayanaChama
 
I got you.

An addition to that:

Kazi za Wauguzi zipo katika makundi mawili;

1. Independent role;

Hapa Muuguzi anaamua, anachagua, anapanga na kutekeleza mwenyewe.

2. Collaborative role;

Hapa Muuguzi anashirikiana na wataaluma wengine wa kada ya afya katika kutoa hutuma. Kila mmoja ana sehemu yake ya kufanya hakuna mtoa maelekezo na mtekelezaji.
 
I got you.

An addition to that:

Kazi za Wauguzi zipo katika makundi mawili;

1. Independent role;

Hapa Muuguzi anaamua, anachagua, anapanga na kutekeleza mwenyewe.

2. Collaborative role;

Hapa Muuguzi anashirikiana na wataaluma wengine wa kada ya afya katika kutoa hutuma. Kila mmoja ana sehemu yake ya kufanya hakuna
Naungana nawe mkono, kama wapo wana
Naungana nawe mkono, kama wapo wanaoomba rushwa waache kabisaa na wadhibitiwe haswa.

Otherwise wanaitenda kazi yao kwa weledi ni hakika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…