GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Haya Waandishi wa Habari njooni upesi Kawe jirani na ulipo Msikiti maarufu wa Londa kisha tembeeni hatua chache ulizeni Nyumba ya Mmiliki ( sasa Marehemu ) wa Hoteli Kongwe na Maarufu ya Kawe iitwayo Maifea na mkifika tu hapo ulizeni Nyumba ya Mama wa Kihaya ( Mtani wangu ) aitwae Mama Queen ili ama mumuone huyo Marehemu aliyefia katika Kibanda chake cha Mkaa alichompangisha Marehemu ( ambaye GENTAMYCINE nimeshuhudia Mwili wake ) au atawapeni Taarifa Kamili za huyo Marehemu.
Mkimalizana nae huyo Mama Queen ( Mtani wangu wa Kihaya ) Mwenye Kibanda hicho cha Mkaa alichofia huyo Marehemu Muumini Mgonjwa wa Mtume Mwamposa kwa kupata details zote njooni na Mtani wangu wa Kihaya wa hapa JamiiForums Chachu Ombara mnisalimie na mnishukuru kwa kuwapeni News Top hii Muhimu katika Lodge iliyoko mbele yenu kuna Mpuuzi Mmoja kanilia sana Hela yangu leo anaileta ili niinyooshe ki Mayele Mayele Kitandani.
Mtume Mwamposa una Habari hii?
Mkimalizana nae huyo Mama Queen ( Mtani wangu wa Kihaya ) Mwenye Kibanda hicho cha Mkaa alichofia huyo Marehemu Muumini Mgonjwa wa Mtume Mwamposa kwa kupata details zote njooni na Mtani wangu wa Kihaya wa hapa JamiiForums Chachu Ombara mnisalimie na mnishukuru kwa kuwapeni News Top hii Muhimu katika Lodge iliyoko mbele yenu kuna Mpuuzi Mmoja kanilia sana Hela yangu leo anaileta ili niinyooshe ki Mayele Mayele Kitandani.
Mtume Mwamposa una Habari hii?