Muumini na Padri

eRRy

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2009
Posts
1,126
Reaction score
206
MUUMINI NA PADRI
Muumini mmoja alikuwa akiungama kwa Padri.
Muumini: Nakuungamia wewe Padri wangu, dhambi zangu ni hizi, nina meseji za matusi kwenye simu yangu, nina picha za x kwenye simu yangu.
Padri alimwinamia taratibu na kumwambia:
“Unaweza kunifowadia vyote?”
 

WORTH LOUGHING...tHANX!
 
duhhh inafanana na hii ya mchungaji alikuwa anafungisha ndoa ya rafiki yake

mchungaji; ni kweli bwana.....unampenda na unakubali kumuoa bi......
bwana harusi;nampenda kinoma.
mchungaji;acha usenge tupo kanisani
 
Padre na Sheikh!
Padre: Sheikh tupita hapa tupate kitimoto
sheikh: Haram hiyo hailiwi
Padre: Umekosa uhondo sheikh
Sheikh: Nawahi nyumbani kwa mke wangu
Padre: Haram haturuhusiwi kuoa
Sheikh: Umekosa uhondo padre
te te te
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…