Muundo wa serikali washika kasi kwenye vyombo vya habari

Muundo wa serikali washika kasi kwenye vyombo vya habari

Marire

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2012
Posts
12,333
Reaction score
5,292
Heshima kwenu.
Nimejaribu kufutilia midahadala mabalimbali kwenye tv,radio,magazeti kuhusiana na katiba mpya.sijasikia wakijadili jambo lingine zaidi ya muundo wa serekali.
Hata wanasiasa wanajadili hayo hayo tu.
Naomba kueleweshwa ina maana hiyo katiba inahusu muundo wa serekali pekee?
 
Back
Top Bottom