KAKA YAKO NAPITA
JF-Expert Member
- May 16, 2014
- 1,322
- 233
Eti kuna tetesi kuwa muudo wa ukaguzi wa shule utabadilika kuanzia julai mosi,ukaguzi hatokuwa kwenye kanda tena bali ukaguzi utaanzia kwenye wilaya mpka kwenye kata,kutakuwa na wakaguzi wa shule kwenye kata wakishirikiana na mratibu elimu,kuanzia julai mosi ofisi za kanda hazitokuepo tena,hyo ni kutokana na mfumo utakao tumiwa unaitwa IMIS.
tujuzane zaidi wakuu kwa anaejua zaidi
tujuzane zaidi wakuu kwa anaejua zaidi