Muungano hautajutia kumpata Mhe. Hussein Mwinyi

Muungano hautajutia kumpata Mhe. Hussein Mwinyi

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Alikuwa mbunge Bara na Zanzibar. Anakujuwa kote anapendwa kote, Muungano utake nini tena.

Kusema kweli huu ndio muda mzuri wa kuimarisha na pengine kuukamilisha Muungano wetu.

Faida za muungano ziko wazi, huu Ndio ule muda mwafaka wa kufikiria na kutekeleza muungano wa serikali moja badala ya mbili au tatu.
 
One State One Government....Hail to the union!
 
Alikuwa mbunge Bara na Zanzibar. Anakujuwa kote anapendwa kote, Muungano utake nini tena.

Kusema kweli huu ndio muda mzuri wa kuimarisha na pengine kuukamilisha Muungano wetu.

Faida za muungano ziko wazi, Huu Ndio ule muda mwafaka wa kufikiria na kutekeleza muungano wa serikali moja badala ya mbili au tatu.
Sawa
 
Narudia tena; "Uchaguzi huru na haki"---- hilo ndilo sharti la anguko la CCM Zenji. 🇹🇿🇹🇿 😎🤓
Mkuu tufundishe namna tutakavyoweza kupata uchaguzi huru na haki ili tufikirie
 
Back
Top Bottom