Shughuli ni kupenya kwenye tundu la sindano kwenye uchaguzi (kama utakuwa huru na haki!) !!! π
π βββπ₯
SawaAlikuwa mbunge Bara na Zanzibar. Anakujuwa kote anapendwa kote, Muungano utake nini tena.
Kusema kweli huu ndio muda mzuri wa kuimarisha na pengine kuukamilisha Muungano wetu.
Faida za muungano ziko wazi, Huu Ndio ule muda mwafaka wa kufikiria na kutekeleza muungano wa serikali moja badala ya mbili au tatu.
Duuu!!Ni rahisi tembo kupenya kwenye tundu la sindano kuliko CCM kupenya kwenye uchaguzi "huru na haki" huko Zenji.
[emoji1787][emoji1787][emoji1241][emoji1241]
Duuu!!