Graduate Engineer
Member
- Jan 5, 2021
- 21
- 13
"Mwanafunzi yeyote wa Zanzibar hana sababu ya msingi ya kukosa mkopo wa elimu ya juu kama ana vigezo kwasababu mwanafunzi Mzanzibar una nafasi mbili za kuomba mkopo, unaweza kuomba mkopo Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu Zanzibar (ZHELB) au Bodi Ya Mikopo Elimu Ya Juu Tanzania (HESLB) kote anaruhusiwa kuomba mkopo - Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Zanzibar (ZHELB), Idd Khamis Haji.
Kutoka
#Dira #ZBCUpdates
Lakina hapo hapo hapo Raia wa Zanzibar anaruhusiwa kuomba ajira (Ajiraportal) kama raia wa Tanzania lakini Mtanzania haruhusiwi kuomba Mkopo wala ajira kwa ZHELB NA ZANAJIRA.
KARIBU KWA HOJA NI KIFANYIKE KUBORESHA HUU MUUNGANO.
Kutoka
#Dira #ZBCUpdates
Lakina hapo hapo hapo Raia wa Zanzibar anaruhusiwa kuomba ajira (Ajiraportal) kama raia wa Tanzania lakini Mtanzania haruhusiwi kuomba Mkopo wala ajira kwa ZHELB NA ZANAJIRA.
KARIBU KWA HOJA NI KIFANYIKE KUBORESHA HUU MUUNGANO.