Muungano miaka 58, tunalamba Asali!

Muungano miaka 58, tunalamba Asali!

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Watanzania kwa ujumla wetu Leo tunasherehekea miaka 58 ya Muungano huku tukilamba Asali ya Elimu bure, matibabu Bure (kwa watoto na wazee) pia fursa kufunguliwa za kibiashara duniani - US, UAE, EU, Malawi, Kenya, Uganda, Rwanda, Botswana, Russia na Burundi.

images - 2022-04-26T151539.280.jpeg


images (18).jpeg
 
Back
Top Bottom