Muungano na maduka ya wapemba Namanga

Muungano na maduka ya wapemba Namanga

nngu007

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2010
Posts
15,860
Reaction score
5,801


Written by Stonetown (Kiongozi) // 05/05/2011 // Makala/Tahariri // 21 Comments

nishani-564x272.jpg

Msione taabu sana kusoma mada hii au mada zangu. Kwa jicho la ghafla, utadhani kama vile ‘jokes’; lakini nakuleteeni mada za Muungano kwa mujibu wa Ilani na Sera za CCM. Yaani yale wanayosema akina JK, Pinda, Seif Ali Iddi, Nyerere, Mwinyi n.k.
Kwa ufupi, katika kuujadili Muungano, Watanganyika wengi wamesahau ‘reality’, wameshahu uhalali wa Muungano, au sheria au haki za Wazanzibari, na wanarukia vitu vya kipuuzi kama hivyo vya kuwa “maduka ya wapemba’ dar au Bara kote, na hususan pale Dar, maarufu kwa jina la Namanga.
Siku moja nilikwenda pale Namanga, DAR. Na niliyahesabu yale maduka yaliyopo pale. Hayazidi kumi, na tuseme ukweli, hayafiki idadi hiyo. Sasa nilijiuliza: Je, maduka haya yanaingiza kiasi gani, tija yake, mpaka ikawa inalingana na thamani ya kupoteza nchi kama Zanzibar? Je, pato linalopatikana hapo linakwenda wapi?Je, Zanzibar inafaidika vipi na sales zinazofanywa hapo n.k.
Leo imekuwa fashion sana, kumsikia kiongozi wa siasa, hasa wa CCM, akitaka kuuhalalisha Muungano, anataja maduka ya Namanga (na anatia sheda na kisra, kuwa ni “maduka ya Wapemba”). Lakini hawataki kusema kuwa wao watawala wameanzisha kamati 49 tokea kuansisiwa kwa Muungano, zote zimekuwa hazina tija, mbali ya tume….nasikia tume zote ni 17. Mbali kile kitu kinachoitwa ‘joint committees”.
Kwa nini hawataki kusema kuwa misaada yote ya mabilioni inayotolewa na mataifa ya kigeni, wanachukua wao Tanganyika, hata ile misaada ya kujenga njia Sumbawanga, kasma ya Zanzibar inachukuliwa na wao. Hawataki kusema akina Samia, Mwinyi, Nyerere, JK, na wenzake kuwa portion ya Zanzibar (quota) ya ajira ndani ya taasisi za Muungano, zile 11 — Wazanzibari hawaingizwi ikiwemo Wizara ya mambo ya nchi za nje.
- Tunapigwa bao, eti wanasema kuwa ‘hatujui kiingereza’. Kuna mtoto mmoja wa Mkereteketwa Zanzibar, alifanyiwa interview ili aaajiriwe foreign affairs, moja ya oral question, alitakiwa aimbe wimbo wa taifa wa TZ. Alishindwa kuimba, maana haujui [sio wake]. Watanganyika walimcheka, na alikosa kazi? Mimi binafsi yangu ukiniuliza, siujui kuuimba.
Wanasahu kusema akina Samia kuwa hata zile nafasi ambazo ni zetu wenyewe, za taasisi za Muungano, zilizopo Zanzibar, pia siku hizi wanazichukua wenyewe. Tujaalie BOT, bank of Tanzania — mpaka mfagiaji, dereva, mpika chai, mpelekaji barua — wote hawa wanatoka Tanganyika. Zile ofisi za united Nations, kadhalika — taabu kuona species ya Mzanzibari. haya akina Samia, Mahadhi, Seif Ali Iddi n.k hawataki kuyasema: wao wamengangania kuwa ‘wapemba’ wanamiliki maduka namanga au maghorofa kariakoo.
Lakini yote haya ni kuwa, kama nilivyotangulia siku za nyuma kusema, bado TZ dunia imewapa uso mzuri. Iko siku Mmarekani, na Mngereza aliyefanya Muungano atasema basi, na itakuwa hakuna ujanja: sisi nina hakika hatuwezi kitu.Tunasema na kupayuka tu. Hawa akina JK wanatamba, sio kuwa wanajua sana, bado dunia imewapa uso mzuri. na hawaujui Muungano hata zero%. Waliofanya Muungano huu 1964 ni marekani, na akisaidiwa na mngereza, na local agent wao alikuwa/walikuwa comrades. Wao ndio waliokuwa wachuuzi kwa Zanzibar kama unavyoona wachuuzi wa dagaa mitaani siku hizi [najua watakasirika, lakini lazima wakubali ukweli]. Nimesema kuwa sisi hatuwezi, kwa sababu vidudu mtu akina comrades bado wapo zanzibar, ni hao akina Samia, Mahadhi, Pereira, Mohammed Seif Khatib na timu yao.
 
sasa wakijitenga tu, ndo itakuwa taifa la hoovyo, bora tuendelee kuwabeba.
 
Written by Stonetown (Kiongozi) // 05/05/2011 // Makala/Tahariri // 21 Comments

nishani-564x272.jpg

Msione taabu sana kusoma mada hii au mada zangu. Kwa jicho la ghafla, utadhani kama vile ‘jokes’; lakini nakuleteeni mada za Muungano kwa mujibu wa Ilani na Sera za CCM. Yaani yale wanayosema akina JK, Pinda, Seif Ali Iddi, Nyerere, Mwinyi n.k.
Kwa ufupi, katika kuujadili Muungano, Watanganyika wengi wamesahau ‘reality’, wameshahu uhalali wa Muungano, au sheria au haki za Wazanzibari, na wanarukia vitu vya kipuuzi kama hivyo vya kuwa “maduka ya wapemba’ dar au Bara kote, na hususan pale Dar, maarufu kwa jina la Namanga.
Siku moja nilikwenda pale Namanga, DAR. Na niliyahesabu yale maduka yaliyopo pale. Hayazidi kumi, na tuseme ukweli, hayafiki idadi hiyo. Sasa nilijiuliza: Je, maduka haya yanaingiza kiasi gani, tija yake, mpaka ikawa inalingana na thamani ya kupoteza nchi kama Zanzibar? Je, pato linalopatikana hapo linakwenda wapi?Je, Zanzibar inafaidika vipi na sales zinazofanywa hapo n.k.
Leo imekuwa fashion sana, kumsikia kiongozi wa siasa, hasa wa CCM, akitaka kuuhalalisha Muungano, anataja maduka ya Namanga (na anatia sheda na kisra, kuwa ni “maduka ya Wapemba”). Lakini hawataki kusema kuwa wao watawala wameanzisha kamati 49 tokea kuansisiwa kwa Muungano, zote zimekuwa hazina tija, mbali ya tume….nasikia tume zote ni 17. Mbali kile kitu kinachoitwa ‘joint committees”.
Kwa nini hawataki kusema kuwa misaada yote ya mabilioni inayotolewa na mataifa ya kigeni, wanachukua wao Tanganyika, hata ile misaada ya kujenga njia Sumbawanga, kasma ya Zanzibar inachukuliwa na wao. Hawataki kusema akina Samia, Mwinyi, Nyerere, JK, na wenzake kuwa portion ya Zanzibar (quota) ya ajira ndani ya taasisi za Muungano, zile 11 — Wazanzibari hawaingizwi ikiwemo Wizara ya mambo ya nchi za nje.
- Tunapigwa bao, eti wanasema kuwa ‘hatujui kiingereza’. Kuna mtoto mmoja wa Mkereteketwa Zanzibar, alifanyiwa interview ili aaajiriwe foreign affairs, moja ya oral question, alitakiwa aimbe wimbo wa taifa wa TZ. Alishindwa kuimba, maana haujui [sio wake]. Watanganyika walimcheka, na alikosa kazi? Mimi binafsi yangu ukiniuliza, siujui kuuimba.
Wanasahu kusema akina Samia kuwa hata zile nafasi ambazo ni zetu wenyewe, za taasisi za Muungano, zilizopo Zanzibar, pia siku hizi wanazichukua wenyewe. Tujaalie BOT, bank of Tanzania — mpaka mfagiaji, dereva, mpika chai, mpelekaji barua — wote hawa wanatoka Tanganyika. Zile ofisi za united Nations, kadhalika — taabu kuona species ya Mzanzibari. haya akina Samia, Mahadhi, Seif Ali Iddi n.k hawataki kuyasema: wao wamengangania kuwa ‘wapemba’ wanamiliki maduka namanga au maghorofa kariakoo.
Lakini yote haya ni kuwa, kama nilivyotangulia siku za nyuma kusema, bado TZ dunia imewapa uso mzuri. Iko siku Mmarekani, na Mngereza aliyefanya Muungano atasema basi, na itakuwa hakuna ujanja: sisi nina hakika hatuwezi kitu.Tunasema na kupayuka tu. Hawa akina JK wanatamba, sio kuwa wanajua sana, bado dunia imewapa uso mzuri. na hawaujui Muungano hata zero%. Waliofanya Muungano huu 1964 ni marekani, na akisaidiwa na mngereza, na local agent wao alikuwa/walikuwa comrades. Wao ndio waliokuwa wachuuzi kwa Zanzibar kama unavyoona wachuuzi wa dagaa mitaani siku hizi [najua watakasirika, lakini lazima wakubali ukweli]. Nimesema kuwa sisi hatuwezi, kwa sababu vidudu mtu akina comrades bado wapo zanzibar, ni hao akina Samia, Mahadhi, Pereira, Mohammed Seif Khatib na timu yao.

Hii ni kali, mambo haya ni magumu sana. Watu wengi wanahitaji muungano huu lakini kama ndugu huyu aombea ufe ati kwa sababu eti merikani na ngereza walitengeneza muungano huu. Mungu epusha balaa lijalo kutokana na ndugu huyu. Muungano ni mzuri, ni vizuri kasoro zilizopo zikarekebishwa ikibidi kura ya maoni ifanywe ili kujua kutoka kwa wananchi wanahitaji Muungano wa namna gani. Lakini mawazo yake yanatakiwa kuheshimiwa sana na kufanyiwa kazi haraka. Awe tayari kuheshimu matakwa ya wengi kama akina Samia, Mahadhi, JK, Mohamed Seif Khatib na wengine tunaowaunga mkono. Mungu ubariki muungano wa Tanganyika na Zanzibar
 
Africa unite.
Unite for the benefits of your people and children
Africa unite
Africa unite
Africa is one
One nation under God
Africa unite
 
Hawa ni waarabu koko hawataki kabisa kusikia waafrika hasa kutoka bara, wanatamani waitwe, wamahra, wayemen, waoman nk hivi kwanini tusiuvunje huu Muungano tu wasogee zao huko Oman na kisiwa chao cha Pemba?:dance:
 
Hawa ni waarabu koko hawataki kabisa kusikia waafrika hasa kutoka bara, wanatamani waitwe, wamahra, wayemen, waoman nk hivi kwanini tusiuvunje huu Muungano tu wasogee zao huko Oman na kisiwa chao cha Pemba?:dance:

Wewe ndiyo uko kwenye ndoto kabisa. Nyerere alitaka kuvipeleka visiwa hivi mbali kabisa baharini akashindwa jee wewe?
 
Ndio maana mnawazunguusha waarabu Pemba wawatilie mimba wake zenu mpate uweupe, mnajutia bibi zenu hawajabakwa kama wale wenye ka rangi?
 
aisee hawa jmaa wanakiburi na majivuno mfano hakuna..nilishawahi kufanya biashara na mwarabu koko mmoja kutoka pemba kwanza ni shida tu ndio zilimkutanisha mimi na yeye maana anonyesha wazi hapendi wabara achilia mbali wakristo..nimefikia konlusheni kuwa hii dini ya uislamu ina uhusiano wa karibu na shetani..maana hakuna dini inayohubiri chuki ya namna hii..i wish ningepata nafasi ya kuwa kiongozi...washenzi wote kama hawa nawapiga deportation kwao huko wanakodai n ikwao...uarabuni..halafu nione huu muungano wanaosema uvunjwe huko oman watautoa wapi ..kama hawataishia kupiga deki nyumba za mamwinyi wa ukweli na sio mamwinyi koko
 
muungano ni mzuri lakini Wazanzibari bila kujua wanachofaidika wanapiga kelele za muungano uvunjike. inasikitisha hatua tunayoelekea kwakuwa dalili zimeshaonekana wazi kuwa Muungano unaelekea mwishoni kutokana na hatua ambazo zinachukuliwa na upande wa Zanzibar. Nikule kufikiria kwamba bara wanafaidi bila ya kuchunguza kwa undani. Haya tuombe Mungu atusaidie ikiwezekana tupige kura ya maoni kuhusu jambo hili. lakini ninaimani ukweli utajulikana. Mungu ibariki Tanzania. Inawezekana kukawa na ukweli badala ya kukaa tukarekebisha matatizo yaliyopo watu wanawaza kuvunja.
 
muungano ni mzuri lakini Wazanzibari bila kujua wanachofaidika wanapiga kelele za muungano uvunjike. inasikitisha hatua tunayoelekea kwakuwa dalili zimeshaonekana wazi kuwa Muungano unaelekea mwishoni kutokana na hatua ambazo zinachukuliwa na upande wa Zanzibar. Nikule kufikiria kwamba bara wanafaidi bila ya kuchunguza kwa undani. Haya tuombe Mungu atusaidie ikiwezekana tupige kura ya maoni kuhusu jambo hili. lakini ninaimani ukweli utajulikana. Mungu ibariki Tanzania. Inawezekana kukawa na ukweli badala ya kukaa tukarekebisha matatizo yaliyopo watu wanawaza kuvunja.
unaweza kunielezea uzuri wa muungano?maana mimi siujui
 
Back
Top Bottom