Wazeji mwatuchelewesha, muungano hatuupendi kama nyie msivyoupenda.Hayo mabo ya UN ni dangaya toto, fanyeni kweli ili mtokane na kero zenu/zetu.
 
Kama Wabar mmenuna na hamuutaki huu muungano kwanini msipeleke hoja Bungeni kule Dodoma kutaka kuuvunja na kudai Serikali yenu ya WaDanganyika oops Tanganyika.

Kwanini msidai Serikali yenu ya Wadanganyika?
 
Jamani kama kweli Muungano hamuutaki kwa nini wabunge wenu (CUF) hawapeleki hoja bungeni za kuvunja Muungano?? Msitudanganye ninyi...tunajua katika Muungano ninyi ndo wafaidika wakubwa!!
Ni vigumu kujadiliwa hoja ya muungano kwa sababu wabunge wa zanzibar ni 60 tu wakti wabunge wa tanganyika 300,tunazidiwa nguvu,na watanganyika always wanatetea maslahi yao kwa kutukandamiza wazanzibari.
 
Ni vigumu kujadiliwa hoja ya muungano kwa sababu wabunge wa zanzibar ni 60 tu wakti wabunge wa tanganyika 300,tunazidiwa nguvu,na watanganyika always wanatetea maslahi yao kwa kutukandamiza wazanzibari.
GHIBUU na wenzio mnajua fika kuwa kwa wabara, suala la muungano kwa wabara ni kama jipu la makalioni.Kila ukikaa linatonesha , mnajua la kufanya na msizingue watu.
 
Nimekunywa maji ya zanzibar ....ndio maana am so proud am zinjibaria,,,,sijui wewe ni nani au ndi tanga la wa nyika,unatanga tanga hujui wapi unapotoka, hata tifa lako hulijuiii..tanzania sio nchi.
 
Huko mzalendo.net siendi na wala sitaenda kamwe nilishaenda mara 1 nikakuta maneno ya chuki tupu dhidi ya WATANGANYIKA, kama ni kuvunja muungano fanyeni fasta walau tupone
 
Huko mzalendo.net siendi na wala sitaenda kamwe nilishaenda mara 1 nikakuta maneno chuki tupu dhidi ya wabara, kama ni kuvunja muungano fanyeni fasta walau tupone


Umeona mkuu, hawa jamaa kila siku wanakuja na maneno ya kashfa wakati wao wana serikali huru... wapelekeni mswaada wa kukataa muungano kwenye baraza lenu, muupitishe na muue huu muungano hamlazimishwi kuendelea kuwa na tanzania...:bored:
 
Siku nikipata nafasi kwenye nchi hii ya Tanganyika,nitawarudisha wazanzibar kwenu ndani ya dk 2..mnalalamika c mrudi kwenu mkajae maana kwa kuzaliana cwawez
 
muungano huu unang'ang'aniwa na viongozi wa huku kwetu Tanganyika. lakini hakuna Mzanzibar anaeutaka muungano, cha kuwauliza viongozi wa upande wa Tanganyika ni maslahi gani yaliojificha wanayonufaika nayo kwa kimvuli cha muungano?
 
naangalia hizi video hawa jamaa wanajua kuargue, ukweli ni kuwa muungano ni wakihuni na unafaidisha wachache tuu.
 
naangalia hizi video hawa jamaa wanajua kuargue, ukweli ni kuwa muungano ni wakihuni na unafaidisha wachache tuu.
Wewe kweli umesoma,unajua hpa katika huu mtandao kuna watu ni wafuasi wa chama tu,lakini kiukweli hawajui maana ya uwongozi,hawajuui maana ya nchi,hawajui maana ya maslahi,siku zote comments zao kuwa wazanzbari tutawafukuza,hamutakula maana sie ndio wenywe nyakula,hawana sababu za msingi.

Hivi kweli hawa binadamu ? Binadamu gani asiekuwa na uwelewa ? Hapa hata kama tutavunja muungano still udugu upo,kama biashara zitakuwepo,kilichotenganishwa ni nchi tu,kwa maslahi ya wananchi,na tusichukulie wazanzibar waliko bara kuwa ndio wanaofadika na muungano,katika aslimia za faida za muungano kuwepo hao wazanzibar hapo basi hata asilimia moja haifiki,na hao kwa maslahi yao binafsi.

Wazanzbari wanacho jali wao ni utaifa wao,uchumi wao,ili uwafaidishe,kuna elimu,kuna afya,miundo mbinu,ajira,n.k Haya yote ndio wanayowakabili,sio jengine,uchumi wa zanzbar umekaliwa na muungano,lakini watu hawaelewi.

Ikuwa muungano unaendeshwa kihuni huni vipi nchi nayo itaendeswa ki democracy ? Ndio maana leo hii nchi kama munavyoiyoona,Chini ya ccm,maisha magumu,umeme unasumbua na gharama zake pia,ajira hakuna,maji hakuna,usimamizo mbovu wa mazingira ndio maana watu wanajenga jenga ovyoo,nenda mbagala,manzese,bunjuu,kote huko,maradhi yakiripuka mji mzima.

SERIKALI imeshindwa kuondoa matatizo sugu,na washatangaza hayatamaliza maisha,jee matarajio yetu nini ? Ikiwa nyie wenyewe watanganyika maisha kama hayo jee huu muungano utakuwa je ? Ni usanii wa hali ya juu.

Hapa ulaya ndo kwanza serikali zinajenga majumba na kuwapa wananchi wake wakae bureee,na pesa juu ya kula unapewa,leo tanzania tuna rasilimali kibao lakini serikali inashindwa kuwapa hata umeme wa kulipia wa uhakika,wala maji,wala elimu bora.

Jamani tushikamaneni tutetee maslahi ya nchi yetu,iwe zanzibar iwe tanganyika,kila taifa,tusiwe na jazma za kikabila.
 
Umeona mkuu, hawa jamaa kila siku wanakuja na maneno ya kashfa wakati wao wana serikali huru... wapelekeni mswaada wa kukataa muungano kwenye baraza lenu, muupitishe na muue huu muungano hamlazimishwi kuendelea kuwa na tanzania...:bored:
Nakupa tatizo ambalo wazanzbari imefikia kuwakashifu na kuwafikiria vibaya na kuelewana vibaya,unajua zanzibar toka uje mfumo wamuungano kuna dhambi kubwa sana zimefanyika zanzibar,watu wamekufa,wamezalilishwa,wamebakwa,wengine wameambukizwa ukimwi kwa kubakwa watoto wadogo,yote ni muungano.

Zanzibar jeshi liliopo pale ni la muungano,hakuna hata mzanzibari mmoja pale,wazanzbari wakiajiriwa jeshi wanapelekwa mikoani,hivi nikuulize wewe kama ungelikuwa mzanzbari anakuja mtu kutoka huko bara arusha au morogoro na yeye mwanajeshi anakuja kubaka mama yako mbele yako au baba yako au kaka yako analaitiwa,au ndugu yako utafeeel vipi ? Utajisikiajee ?

Inauma sana sana,ndo maana wazanzbari hawautaki muungano hata uwe wa misingi gani,wameshatosheka na mazima na dhambi walizofanyiwa,kwa hiyo ndio tunakuta viongozi wetu wametujea chuki kati yetu,wao wanakula raha sie tunakashifiana.

Hayo ndo muhtasar nakuekea video uwone kidogo tu wazanzbari wanavyoteshwa na muungano.
http://www.youtube.com/watch?v=8vTs4Ue2cPs

NGALIA DAMU KATIKA floor

Na nyengine hiii

YouTube - Tanzania Police Brutality: Zanzibar Nov 2005 (Part 2)

Jee kama ni wewe nchi yako utakubali ? Utakubali atoke mkenya huko aje akunyanyase wewe ndani ya nchi yake ? AU aje mburundii ?
HAKIKA wazanzibari ni haki yao kupigania nchi yao kupata uhuru.
 
Ishu ni kuwa upande mmoja wa so called muungano yaani zanzibar wanajua haki yao katika muungano, na wanaitaka hiyo haki sio blah blah, upande wa pili hawajali, ila ukweli ni kuwa viongozi wanajua wanachokifaidi ila hawataki kusema.
CCM ndio inayojua maana yahuu muungano, viongozi wake wengi hawako tayari kusema ukweli wakiogopa kupoteza ugali wao wa kila siku na wanajali matumbo yao tuu.
 

Nani kawabaka? Tatizo mnalalamika sana,c mpeleke hoja binafsi kwenye baraza la wawakilishi mvunje muungano..au mnaogopa kuacha mali zenu huku Tanganyika.
 
Nani kawabaka? Tatizo mnalalamika sana,c mpeleke hoja binafsi kwenye baraza la wawakilishi mvunje muungano..au mnaogopa kuacha mali zenu huku Tanganyika.


Hiki ndicho kinachonishangaza na mimi, kama hawataki mbona wanapiga kelele tu pembeni... si wapelekeni muswada kwenye baraza la wawakilishi wavunje huu muungano au kuna tatizo gani zaidi???????
 
Fungua kongamano hili,wananchi wa zanzibar wakiwa na munkari na mchecheto wa kutaka kuuvunja muungano,wamechoshwa na muungano,hasara nyingi zaidi kuliko faida.

FUNGUA HAPA Video:Muungano ni kero twachelea ni ukoloni mweusi! | MZALENDO.NET

Pole. Lakini muswada wa "marejeo" ya Katiba unaotarajiwa kuwasilishwa Bungeni muda wowote kuanzia kesho unakataza, pamoja na mambo mengine kujadili "Suala la Muungano" na "Uraisi". Nakushauri huo munkari na mchecheto mkamalizie vyumbani kwenu - la Muungano halina mjadala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…