mi sioni umuhimu wa muungano hakuna kinachoongezeka au kupungua muungano ukiwepo au usipokuwepo. kama wanataika kujitoa wajitoe tu... sioni mchango wao kwanza
 

si kweli tunapenda muungano, kule kwetu wasso hawajui hata kama muungano upo na ukoje
 
mi sioni umuhimu wa muungano hakuna kinachoongezeka au kupungua muungano ukiwepo au usipokuwepo. kama wanataika kujitoa wajitoe tu... sioni mchango wao kwanza


Muungano ni mzigo kwetu, ukivunjika tutakuwa tumetua mzigo na kuokoa mabilioni ya fedha.
  • Zaidi ya milioni 800 za kulipa wabunge wa zanzibar - kulipa wabunge 82 ambapo zanzibar haichangii chochote;
  • Zaidi ya milioni 600 kulipa wanasiasa wengine toka Zanzibar. n.k.
 
Wabara hawapendi kuongelea hili ukilinganisha na wazenj maana hawautaki huu Muungano ila mafisadi wa magamba ndio wanaung'ang'ania kama mtaji wao wa kuendeleza ufisadi. Kama kura ya maoni ya Wabara tu ingeruhusiwa kusema ndio au hapana kuhusiana kuwepo na muungano basi ungeshangaa kwa asilimia kubwa ya wabara kusema hapana.

Hauna tija yoyote kwa Wabara zaidi ya kuongeza gharama za kuendesha Serikali. Na hawa wakusanya maoni ya katiba mpya nina wasiwasi kama watakuwa wakweli kuhusiana na maoni ya Wabara katika muungano huu wa pwagu na pwaguzi. Nasema hivi kwa sababu msanii alishadai kwamba maoni ya katiba mpya hayahusiani kabisa na Muungano baada ya pressure kubwa kule Zenj ndio wakaruhusu maoni kuhusu muungano yatolewe pia. Hivyo sitashangaa kama watachakachua maoni hayo ili kuonyesha wabara wengi wanaunga mkono kuendelea kuwepo kwa muungano.


Ni kweli kabisa unayosema...hata mm siutaki huu Muungano...

Lakini fatilia mijadala ya hapa Jf utaona hivo vitisho nilivyotaja......hapo ndio napata wasiwasi

kama kweli Watanganyika hawautaki Muungano !!
 
Binafsi siupendi muungano hasa baada ya wazanzibar kulalamika miaka nenda miaka rudi kuhusu muungano. Hao wakanifanya na mie nijiulize hivi bara tunafaidika na nini hasa kikubwa mpaka tuung'ang'anie muungano? Nikakuta zaidi ya sababu general tu zihusuzo usalama upande wa bahari sijaona kingine. Zaidi ni gharama kwa upande wa Tanganyika maana mgawanyo wa mapato na huduma nyingine hauendani na ukubwa wa ardhi na idadi ya watu kwa pande zote mbili. Zanzibar ambayo ni kama mkoa 1 kiidadi ya watu wanapata mgawo wa kiinchi bila kujali kuwa bara ina watu wengi sana.

Pili nauchukia muungano kwa sababu wazanzibar wanaubaguzi sana. Wao wapo bara wanaishi kwa amani wanafanya kila aina ya biashara lakini wao wanawabagua sana wabara waishio Zanzibar.

Wazanzibar wao wanataka kupewa kila kitu lakini vyao ni vyao tu. Wabunge wao wanakaa kwenye bunge la JMT lkn wa bara hawaingii kwenye baraza la wawakilishi.

Udini ndio wameweka mbele wakati huku bara dini zote zinathaminiwa sawa.
 
Arabs are very funny people!!! How long will Arabs continue stealing from Tanzania?
 
Isles VP urges cadres criticising Union set-up to surrender cards

By The guardian reporter
13th August 2012

Zanzibar Second Vice President Seif Ali Iddi has challenged Chama Cha Mapinduzi (CCM) members and leaders criticising ruling party's policy on the structure of the Union between Tanganyika and Zanzibar to surrender their membership cards before they are expelled from the party.

Ambassador Iddi made the remarks at the weekend during the official opening of Kitope constituency general meting in Kaskazini Unguja Region.
He said that members who have decided to go against the party's policy on the format of the Union were violating Section 221 of the CCM Election Manifesto of 2010.

Iddi, who is also a member of CCM's Central Committee (CC), said that his party is ruling the country following people's endorsement in the previous election, arguing that any member or leader going against its policies will be dealt with accordingly.

"Those who want to ruin our party should return our cards… why should they wait until they are discussed in party's meetings or ethical committees?" queried Ambassador Iddi. He said that the nation was currently going through a difficult transition due to emergence of groups sensitising the people, especially youths, to breach peace contrary to the rule of law.

Ambassador Iddi advised CCM members to be watchful by ensuring that they elect ethical leaders, who would help in strengthening unity, peace and tranquility.

The Isle's VP said CCM would continue to support the leadership structure of two governments, stressing CCM members and leaders should respect party's policies and constitution.

SOURCE:THE GUARDIAN
 
Mbona mimi sijavote halafu naelekezwa kwamba 'you have already voted on this poll' au mnalenga kuwaruhusu watu wachache wapige kura please nipeni ruksa ya kupiga kura, fair game please.
 

It was easier back then...but now lets do apart ili kila mtu aonje joto ya jiwe....
 
Jamani ee! Muungano hatuutaki! Ni viongozi wa ccm tu wanaung'ang'ania kwa maslahi wanayoyajua wenyewe!
 
Vunjilia mbali huo muungano. Mijadala ya muungano huu wakulazimisha inadumaza maendeleo, viongoziwako bize na kuangalia wanazoita kero badala ya mambo ya msingi ya kuinua uchumi. Mfano miaka yote ziwa nyasa limeachwa bila kuendelezwa katika nyanja zote, hakuna vyombo vya uhakika vya usafiri wala mikakati yoyote ya kuendeleza eneo hilo la ziwa mpaka juzijuzi kusikia malawi wameanza utafiti wa mafuta ndio viongozi wanaanza kugutuka.
 
Wananchi na wakazi wa Zanzibar wameligeuza maoni ya mabadiliko ya Katiba kuwa jukwaa la kujadili mambo ya Muungano na kero zake.

Maoni mengi yanayotolewa yanahusu muundo wa Muungano kuliko masuala mengine yaliyomo katika Katiba, kama haki na wajibu wa raia, haki na wajibu wa serikali, ulinzi na usalama, madaraka ya umma, madaraka ya Rais, madaraka ya Bunge na Mahakama.

Kinachozungumzwa na walio wengi ni muundo wa Muungano, kwamba wanataka Serikali ya Tanganyika ijipambanue na iwe na mamlaka yake kamili, kisha Zanzibar nayo iwe na mamlaka kamili na baadaye ndiyo nchi mbili ziketi kuamua kuunda muungano kwa baadhi ya mambo.

Suleiman Juma Suleiman, mkazi wa Kianga alihoji ilipo Tanganyika na kwanini Watanganyika wenyewe hawaidai nchi yao.

"Tanganyika haionekani, iko wapi? Itoeni kwanza Tanganyika ndipo tuzungumze masuala ya Katiba na masuala ya Muungano," alisema Suleiman.

Ramadhan Faki mkazi wa Kianga, alisema hivi sasa Wazanzibari wengi wanataka serikali yao iliyo huru na yenye uamuzi wa mambo yote ya ndani na ya nje, hasa kwa sababu wanaona kama viongozi wao hawawezi kutetea maslahi ya Zanzibar ndani ya Muungano.

Hassan Mohamed Abdallah mkazi wa Kianga alisema yeye anataka Serikali ya Tanganyika irudi, ndipo wazungumzie masuala ya kuimarisha muungano.

Kwa wale waliozungumzia haki za binadamu wengi wao wanaelezea unyanyasaji unaofanywa na polisi.

"Tumechoka vipigo, jambo si jambo bakora zinatembea, sasa kwani hawa askari kutoka Bara wameletwa Zanzibar kulinda wananchi au kutukomesha?" alihoji Haji Ali Haji.

Haji alisema yeye anaamini wananchi wanayo haki ya kutoa mawazo yao kuhusu serikali yao au jambo lolote linalohusu maslahi yao.

"Sisi (wananchi) tunao uhuru wa kutoa mawazo, sasa kwanini tunaposema kile tunachokitaka, tunapigwa na kunyanyaswa?" alihoji Haji.
 
Hakuna cha mkataba, tutawazidi kwa wingi wa kura, its not for them to decide about this,Zanzibar needs to change its approach to Muungano or else they will continue to seat on the complaining side forever, better they come back we discuss how to sort our problems together, diseases,anger,education,shelter,water supply,electricity and their mother ccm etc.

Who is telling zanzibar that they will become better out of Muungano, stupid. is the Congo in Tanzanian Muungano?Chad? Guinea, Burma,Somalia, do not they have these same problems?
 

a stupid man is the one who never know an old phenamenon.zanzibar came into union in 1964,before that date every thing was right in zanzibar and well known social welfare.after union no any change in zanzibar took place.realy u a stupid my pal for this and u a numb,blind and deaf.if u dont know ask your fellow who know and u fail to do that u wil continue to be more like stupid.
 

Zanzibaries have their own constitution, you stupid!! We don't need to give our views on this constitutional review. Warioba get hell out of Zanzibar, its not our thing its Tanganyikans constitution. Again...we have our own constitution.
Bring Tanganyika on the table first then we can talk,....hali ndio hiyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…