daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 3,127
- 3,062
Mgao gani kwa mfanoHuo ndio ukweli.
Wakati wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar kule Unguja walikuwa wameshaendelea na wanasiasa wa bara walikuwa wanaangalia TVZ halafu wanajifanya kuja kututabiria Watanganyika.
Kama yameungana mataifa mawili kwa maana ya nchi mbili basi mgao wowote kwa kile kinachopatikana wapaswa kuwa 50/50
Maendeleo hayana vyama!
Unaakili sana weweHaina shida hata kwenye kulipa iwe 50/50..
Hata sheria ya Mzanzibar kumiliki ardhi Bara iwe sawa na Mtanganyika kumiliki ardhi Zanzibar.
Kama hela TBL mnapokea basi na kiwanda kingine cha TBL kijengwe huko.
Unaongea nini. Cheki wikileaks CIA wamewahi kuweka nyambizi hapo Magogoni ikawa inasikiliza mazungumzo ya Ikulu wakati wanamtafuta Che Guevara.Unashangaa nyambizi zinaibukia tu hapo magogoni na silaha nzito nzito au watu wanaibuka na mijegejo hapo bichi maarufu wakiwa na mashua kama wavuvi wa kawaida
Najaribu kumwelewesha jamaa kuwa mipaka ya majini ni vulnerable zaidi ya ile ya ardhini na ulicho andika wewe kina prove hiloUnaongea nini. Cheki wikileaks CIA wamewahi kuweka nyambizi hapo Magogoni ikawa inasikiliza mazungumzo ya Ikulu wakati wanamtafuta Che Guevara.
Mlilazimishwa kuiacha Tanganyika?Kama ni muungano mbona wao wanaendelea kutumia zanzibar na sisi tanganyika tumeliacha tunatumia tanzania,mbn wanaraisi wao sisi hatuna tuna raisi wa tanzania sio tanganyikaaa anyway vipiiii mkuuuu na kulipa ni 50/50 kwa uchumi wa zanzibar wataweza kulipa
Kwani nani ana uwezo wa kulipa?!!Je Zanzibar hata ipewe 50/50 ina uwezo wa kurudisha mikopo inayokopwa
Zanzibar hauna uwezo wa kulipa madeni makubwa makubwa..uchumi wake ni mdogo Sana. Tena SanaKwani nani ana uwezo wa kulipa?!!
Na baya zaidi ikitokezea kunatakiwa msaada wa kupeleka jeshi kusaidia vita kama kule Kongo basi huwachagua wanajeshi wa Kizanzibari kuwapeleka vitani ili kama ni kufa wafe wazanzibari, majeshi ya Tanganyika hutumiwa kwa shughuli za uchaguzi tu kuua wapemba na Wazanzibari.Huo ndio ukweli.
Wakati wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar kule Unguja walikuwa wameshaendelea na wanasiasa wa bara walikuwa wanaangalia TVZ halafu wanajifanya kuja kututabiria Watanganyika.
Kama yameungana mataifa mawili kwa maana ya nchi mbili basi mgao wowote kwa kile kinachopatikana wapaswa kuwa 50/50
Maendeleo hayana vyama!
Kwa idadi yao uchumi wao ni mkubwa!Zanzibar hauna uwezo wa kulipa madeni makubwa makubwa..uchumi wake ni mdogo Sana. Tena Sana
Zanzibar hauna uwezo wa kulipa madeni makubwa makubwa..uchumi wake ni mdogo Sana. Znz inategemeana zaidi utalii tuu kama njia ya kukusanya mapatoKwa idadi yao uchumi wao ni mkubwa!
Na wala hawakopi madeni makubwa.Zanzibar hauna uwezo wa kulipa madeni makubwa makubwa..uchumi wake ni mdogo Sana. Znz inategemeana zaidi utalii tuu kama njia ya kukusanya mapato
Na kwa nini wasiibuke kutoka Msumbiji ,Kenya, ,Uganda nk ambako unavuka mbuga kama mfugaji au mmasai?Unashangaa nyambizi zinaibukia tu hapo magogoni na silaha nzito nzito au watu wanaibuka na mijegejo hapo bichi maarufu wakiwa na mashua kama wavuvi wa kawaida
Unajua watanzania qanapo ona mgeni kaingia kijijini lazima waulizane na balozi atajulishwa!!! Huko ni ngumu ila ufukweni balozi gaji yupo? Pale unajichanganya bichi na wadau kana kwamba umeenda kubalizi kumbe una lengo lakoNa kwa nini wasiibuke kutoka Msumbiji ,Kenya, ,Uganda nk ambako unavuka mbuga kama mfugaji au mmasai?
Hizo fedha zinazoingizwa Airport Tu sijui zinaendea wapi. Fly Dubai asubuhi Na jioni ndege full, Oman air hivyo hivyo , Qatar , Ethiopia, Air France, KLM, Lufthansa mbali ndege Za Israel, Urusi, Ukraina nk zote zimejaa. Viza dola 50 . Yaani viza Tu haipungui dola 100000 kwa siku minimum. Hujaenda matumizi ya Hao watu. Bandarini . Mapesa yote wanalipwa majeshi Polisi usalama kulinda watawala kubakia madarakani basiZanzibar hauna uwezo wa kulipa madeni makubwa makubwa..uchumi wake ni mdogo Sana. Znz inategemeana zaidi utalii tuu kama njia ya kukusanya mapato
Wameingia Na wanaingia mpaka Leo wakongo , warundi Na Hakuna mwanakijiji wala mwana mji. Mkipewa pesa kidogo Tu unanyamazaUnajua watanzania qanapo ona mgeni kaingia kijijini lazima waulizane na balozi atajulishwa!!! Huko ni ngumu ila ufukweni balozi gaji yupo? Pale unajichanganya bichi na wadau kana kwamba umeenda kubalizi kumbe una lengo lako
Mwandishi atuambieMuungano wa Tanganyika na Zanzibar ni wa Mataifa mawili ( nchi 2, faida Za huu muungano ni zipi?
Dhahiri kabisa.50/50!Huo ndio ukweli.
Wakati wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar kule Unguja walikuwa wameshaendelea na wanasiasa wa bara walikuwa wanaangalia TVZ halafu wanajifanya kuja kututabiria Watanganyika.
Kama yameungana mataifa mawili kwa maana ya nchi mbili basi mgao wowote kwa kile kinachopatikana wapaswa kuwa 50/50
Maendeleo hayana vyama!
Idi Amin alipoivamia Tanganyika , vikosi vya kwanza kupelekwa Vilitoka ZNZDhahiri kabisa.50/50!
Na hata kugawana Madeni iwe.50/50!
Na hata Tukiadhibiwa bakora.50/50!
Kufa kufaanaIdi Amin alipoivamia Tanganyika , vikosi vya kwanza kupelekwa Vilitoka ZNZ