ile notes za kukaririshwa nisome nini pale angeniambia nyuma ya ukuta kuna nini sawa ila habari zile tumeshazoea na ndio ambayo hatutaki na wewe ni mojawapo kati ya waliokaririshwa mpaka unaona kitu kipya ni nilichokuonyesha kichwani mwako hautaki kukifikria hata kidogo nakuomba kaa chini kidogo uiangalie kwa umakini utagungua vitu vipya kabisa.
Nakuuliza kitu kimoja, naomba nijibu kwa ufasaha na usipingane na maandiko yenu:
Gospel (injili) ya Marko kaandika nani?
unaniuliza mwandishi wa enjili ya marco jibu lake ni sawa na swali hili je biblia katika kitabu cha Amos 9:7.alikuwa anamaanisha nini?
Jibu swali, kama hujui sema sijui.
alshabab watahamia zanzibar,
kwanza zanzibar wangepiga kura kama crimea
Hio ni wishfull thinking..ukweli zanzibar ndio inayofunika kombe mwanahamu apite.
Bila ya znz ndani ya muungano mcharuko wa dini tanganyika ni mkubwa mno tena sana kuliko sehemu yoyoye duniani.
Msuguano ni mkubwa na uwiano ni wa mbali sana kati ya wakristo na waislam.
Hili ni kwa wenye kuona mbali ndio maana muungano ni muhimu sana kwa tanganyika.
Sasa sii tanganyika kutakua na alshabab tu bali kina koni na kama wale wa afrika ya kati wanaokula nyama za waislam watajitikeza.
Usiseme usolijua.... hata hao bakwata watabadilika....
Leo Tarehe 26 April, 2020 ni sikukuu ya Muungano, sikukuu hii ndio sikukuu muhimu kuliko hata uhuru kwasababu hii ni siku JMT ilipozaliwa. Lakini kutokana na janga hili la Corona, siku hii inaadhimishwa kimya kimya.Madaraka ya rais wa jamhuri ya muungano(ibara ya 85 :1-6) kutangaza hali ya hatari ni moja ya safari ya mafahari wa Tanganyika na Zanzibar watakapomgomea rais wa jamhuri ya muungano kwa maana katika mambo ya muungano hakuna hali ya hatari.
Hapo ndipo mgogoro wa serikali tatu utapoanzia na Zanzibar kama katiba yao hawatakubali kubadilishwa kipengele cha amri ya kutoka kwa serikali ya jamhuri ya muungano kwamba haitatekelezwa mpaka ipitiwe na baraza la wawakilishi basi mtafaruku huo utaleta hali ya hatari kwa rais wa muungano kushindwa kutumia madaraka yake na mwisho kuzaa mgogoro wa kimamlaka na kwa kuwa zanzibar haitaki muungano basi hiyo itakuwa dirisha la kutoka kwaenye muungano na kujitangazia kama nchi huru.
Je wanajamvi hali hiyo imekaaje maana hiyo ndio rasimu inavyosema.
Corona ndiyo huyo kasimamisha kuusherehekea.Leo Tarehe 26 April, 2020 ni sikukuu ya Muungano, sikukuu hii ndio sikukuu muhimu kuliko hata uhuru kwasababu hii ni siku JMT ilipozaliwa. Lakini kutokana na janga hili la Corona, siku hii inaadhimishwa kimya kimya.
Naawatakia Muungano mwema huku nikisisitiza
Nautakia huu muungano wetu adhimu udumu milele na hivyo kukitokea yoyote anayetaka kuuchokoa muungano, namshauri chokochoko amchokoe pweza, muungano hutauweza kwasababu tutaulinda kwa gharama yoyote.
Nawatakia muungano mwema.
P