Muungano wa wasioungana. Ni unafiki na kiinimacho

Muungano wa wasioungana. Ni unafiki na kiinimacho

Juliana Shonza

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2012
Posts
2,009
Reaction score
1,607
Wakati mwingine sarakasi za siasa za upinzani zinadhihirisha jinsi hawa jamaa walivyopoteza mwelekeo. Kuna jambo nimelisikia, ni kikundi cha kujadiliana ama discussion group imeundwa Dodoma inaitwa UKAWA. Nilivyoisikia kwa mara ya kwanza haikunipa shida kwani niliamini kama ilivyo discussion group nyingine lengo ni kufikia common conclusion kwa wapinzani ndani ya bunge hilo maalum la katiba.

Ajabu ni hii habati mpya kuwa katibu mkuu wa chadema ametangaza kuwa sasa chadema imeungana na cuf na nccr na wapinzani wengine na muungano huo ndio umeanza kwa jina la UKAWA.

Muungano??? Muungano wa aina gani, muungano katika lipi..? Kama muungano wenye tafsir ya muungano unapaswa kuwa wa kikatiba na kikanuni, muungano ambao unatoa mwelekeo wa terms za muungano huo. Lakini hilo ni jambo moja ziada ni aina ya muungano huo wa upinzani..? Utakuwa muungano wenye sura ipi..? Lakini hayo tisa kumi ni muungano wenye motive ipi..? Kwanini uwepo sasa na haukuwepo kabla.

Hivi nikiuliza swali la kawaida tu, wanaungana vipi wakati jmgombea wa CUF chalinze amemiwekea pingamizi mgombea wa chadema..? Wanaungana kuiong'oa CCM..? Mbona hatuoni ukweli wa nia hiyo mpya..?

Lakini nataka kujua UKAWA Huu ni katika muundo wa serikali tu..kwamba ukawa ni muungano wa vyama vinavyotaka serikali tatu?
 
Wakati mwingine sarakasi za siasa za upinzani zinadhihirisha jinsi hawa jamaa walivyopoteza mwelekeo. Kuna jambo nimelisikia, ni kikundi cha kujadiliana ama discussion group imeundwa Dodoma inaitwa UKAWA. Nilivyoisikia kwa mara ya kwanza haikunipa shida kwani niliamini kama
Mbona kama vile umeandika huku ukiwa unanyiwa Kitu flani maana naona umeishia njiani
 
Muungano wa wasiungana. Ni unafiki na kiinimacho. Nadhani hii kauli inaonyeshana wazi ulivyo unafiki na kiinimacho muungano kati ya Zanzibar na "hewa" kuzaa Tanzania.
 
Wakati mwingine sarakasi za siasa za upinzani zinadhihirisha jinsi hawa jamaa walivyopoteza mwelekeo. Kuna jambo nimelisikia, ni kikundi cha kujadiliana ama discussion group imeundwa Dodoma inaitwa UKAWA. Nilivyoisikia kwa mara ya kwanza haikunipa shida kwani niliamini kama ilivyo discussion group nyingine lengo ni kufikia common conclusion kwa wapinzani ndani ya bunge hilo maalum la katiba.

Ajabu ni hii habati mpya kuwa katibu mkuu wa chadema ametangaza kuwa sasa chadema imeungana na cuf na nccr na wapinzani wengine na muungano huo ndio umeanza kwa jina la UKAWA.

Muungano??? Muungano wa aina gani, muungano katika lipi..? Kama muungano wenye tafsir ya muungano unapaswa kuwa wa kikatiba na kikanuni, muungano ambao unatoa mwelekeo wa terms za muungano huo. Lakini hilo ni jambo moja ziada ni aina ya muungano huo wa upinzani..? Utakuwa muungano wenye sura ipi..? Lakini hayo tisa kumi ni muungano wenye motive ipi..? Kwanini uwepo sasa na haukuwepo kabla.

Hivi nikiuliza swali la kawaida tu, wanaungana vipi wakati jmgombea wa CUF chalinze amemiwekea pingamizi mgombea wa chadema..? Wanaungana kuiong'oa CCM..? Mbona hatuoni ukweli wa nia hiyo mpya..?

Lakini nataka kujua UKAWA Huu ni katika muundo wa serikali tu..kwamba ukawa ni muungano wa vyama vinavyotaka serikali tatu?

chadema na nccr ndio nini?
 
Kweli watu tunatofautiana kuelewa..., hayo maswali yote usingeyauliza kama tu ungetumia muda kujua kirefu cha UKAWA..., hii inajibu maswali yako yote.., nadhani kama sijakosea maana yake ni Umoja wa Katiba ya Wananchi (kwahio hawa wameungana wote wenye nia ya kuleta Katiba ya Wananchi na sio Msimamo au Matakwa ya Chama Chama Fulani)
 
Wakati mwingine sarakasi za siasa za upinzani zinadhihirisha jinsi hawa jamaa walivyopoteza mwelekeo. Kuna jambo nimelisikia, ni kikundi cha kujadiliana ama discussion group imeundwa Dodoma inaitwa UKAWA. Nilivyoisikia kwa mara ya kwanza haikunipa shida kwani niliamini kama ilivyo discussion group nyingine lengo ni kufikia common conclusion kwa wapinzani ndani ya bunge hilo maalum la katiba.

Ajabu ni hii habati mpya kuwa katibu mkuu wa chadema ametangaza kuwa sasa chadema imeungana na cuf na nccr na wapinzani wengine na muungano huo ndio umeanza kwa jina la UKAWA.

Muungano??? Muungano wa aina gani, muungano katika lipi..? Kama muungano wenye tafsir ya muungano unapaswa kuwa wa kikatiba na kikanuni, muungano ambao unatoa mwelekeo wa terms za muungano huo. Lakini hilo ni jambo moja ziada ni aina ya muungano huo wa upinzani..? Utakuwa muungano wenye sura ipi..? Lakini hayo tisa kumi ni muungano wenye motive ipi..? Kwanini uwepo sasa na haukuwepo kabla.

Hivi nikiuliza swali la kawaida tu, wanaungana vipi wakati jmgombea wa CUF chalinze amemiwekea pingamizi mgombea wa chadema..? Wanaungana kuiong'oa CCM..? Mbona hatuoni ukweli wa nia hiyo mpya..?

Lakini nataka kujua UKAWA Huu ni katika muundo wa serikali tu..kwamba ukawa ni muungano wa vyama vinavyotaka serikali tatu?
Kiukweli tulikuwa tunaidharau jf, lakini amini usiamini, mabandiko kama haya, yamesaidia saidia, huwezi jua!. Zamani nilikuwa napitia mabandiko yako kwa dharau na kujibu kwa kejeli, lakini baada ya uteuzi, sasa napitia mabandiko yako yote kwa makini zaidi, heshima na adabu haswa kwa kuzingatia wewe sasa ndio bosi wangu kwenye tasnia ya habari.

Karibu Boss, Mheshimiwa saba, Bi Juliana Shonza.

Paskali.
 
Kiukweli tulikuwa tunaidharau jf, lakini amini usiamini, mabandiko kama haya, yamesaidia saidia, huwezi jua!. Zamani nilikuwa napitia mabandiko yako kwa dharau na kujibu kwa kejeli, lakini baada ya uteuzi, sasa napitia mabandiko yako yote kwa makini zaidi, heshima na adabu haswa kwa kuzingatia wewe sasa ndio bosi wangu kwenye tasnia ya habari.

Karibu Boss, Mheshimiwa saba, Bi Juliana Shonza.

Paskali.
Leo unajitahidi sana.
 
Back
Top Bottom