Muungano wetu ulikuwa wa kubadilisha jina kutoka Tanganyika kuwa Tanzania kwani Zanzibar ipo vile vile ila Tanganyika haipo

Muungano wetu ulikuwa wa kubadilisha jina kutoka Tanganyika kuwa Tanzania kwani Zanzibar ipo vile vile ila Tanganyika haipo

Sir robby

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2022
Posts
2,396
Reaction score
4,080
Wadau MUUNGANO wetu ni Wa Nchi 2 Tanganyika na Zanzibar. Matokeo ya MUUNGANO huu yakaizaa Nchi ya TANZANIA. Jambo la AJABU NCHI ya ZANZIBAR imeendelea kuwepo licha ya kuungana na Tanganyika lakini Nchi ya TANGANYIKA HAIPO

Swali
Kwanini Tanganyika ilipotea Bali Zanzibar ipo?

Kama Serikali ya Zanzibar Ipo na ina Bendera na Rais wake kwanini Serikali ya Tanganyika nayo isiwepo na Bendera na RAIS wake? Halafu kukawa na Serikali ya MUUNGANO ikaitwa TANZANIA?

Busara ni kwamba MUUNGANO wa Nchi 2 UNGEZAA NCHI MOJA ambayo ni TANZANIA au UNGEZAA NCHI 3 ambazo ni TANZANIA TANGANYIKA NA ZANZIBAR.

MUUNGANO uliopo ni wa Nchi 2 Umeua NCHI ya Tanganyika na Kuibakiza Nchi ya Zanzibar nafasi ya NCHI ya TANGANYIKA ndiyo inaitwa TANZANIA Huo SIO Muungano tena bali ni KUBADILISHA JINA kutoka TANGANYIKA kuwa TANZANIA.

ZAIDI UNASHAURIWA KUSOMA MADA HIZI:
= > Lipo wapi tatizo kwenye muungano wa Tanganyika na Zanzibar? Tafakari!

= > Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni sawa na Muungano wa Siria na Ejibti walioungana 1958

= > Waliohoji uhalali wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wafikia hatua gani?

= > Yajue mambo 22 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

= > Tanganyika ni lazima iendelee kuungana na Zanzibar?

= > Tuna Muungano wa Tanganyika na Zanzibar tu, siyo Tanzania
 
Wapemba wanamiliki viwanja na mashamba kibao bara.

Ila wewe Mtanganyika pemba hauruhusiwi kumiliki hata miguu kumi ya ardhi
 
Hata Tanganyika yenyewe ilibadilishwa jina pia, hatukuitwa Tanganyika kabla ya Ukoloni wa Uingereza, isitoshe Tanganyika ni jina la Kikoloni, Tanzania ndio letu!
 
Katiba tuliyo nayo ina mapungufu makubwa na ya msingi mathalani kwa sasa tunatawaliwa na viongozi nafasi ya Urais tokea Zanzibar, hili haliko sawa sawa na ajabu tunasema 2o25 tunakwenda kama wanavyotaka wenye Kulamba asali,nadhani si sawa.
 
Tanganyika + Zanzibar = Tanzania

Cha ajabu Tanganyika haipo kabisa duniani, ilikufa baada tu ya Muungano.
 
Tanganyika + Zanzibar = Tanzania

Cha ajabu Tanganyika haipo kabisa duniani, ilikufa baada tu ya Muungano.
TUNATAKA TANGANYIKA YETU MBONA WAZANZIBAR WANA ZANZIBAR YAO?
 
Hata Tanganyika yenyewe ilibadilishwa jina pia, hatukuitwa Tanganyika kabla ya Ukoloni wa Uingereza, isitoshe Tanganyika ni jina la Kikoloni, Tanzania ndio letu!
Ziwa Tanganyika linaitwa hivyo kabla ya mzungu yeyote kufika,barua za mkwawa kwa abushiri zinaonesha akimuuliza habari za huko 'tanga na nyika'..mkoloni atatoaje jina Tanganyika!?..
 
Katiba tuliyo nayo ina mapungufu makubwa na ya msingi mathalani kwa sasa tunatawaliwa na viongozi nafasi ya Urais tokea Zanzibar, hili haliko sawa sawa na ajabu tunasema 2o25 tunakwenda kama wanavyotaka wenye Kulamba asali,nadhani si sawa.
Nyi watoto shule mlienda kufanya nini!?
 
Ziwa Tanganyika linaitwa hivyo kabla ya mzungu yeyote kufika,barua za mkwawa kwa abushiri zinaonesha akimuuliza habari za huko 'tanga na nyika'..mkoloni atatoaje jina Tanganyika!?..

Ziwa Tanganyika lilibatizwa na Wajerumani kabla ya Wajerumani neno Tanganyika halikuwepo wala halilujulikana na sababu ya kuitwa Tanga-Nyika iilikuwa ni mji wa Tanga ambapo Wajerumani walikuwepo na Nyika ambapo ni msitu katikati ya Tanga na Ziwa kuna Nyika kubwa waka coin Jina Tanga-Nyika au Tanganyika lkn kabla ya hapo halikuwepo Tanga kama Mji ulikuwepo na Nyika ni Msitu hivyo ni Jina la Kiloloni.

Kihistoria kwetu hatukuwa na utamadani wa kubatiza Maziwa au Mito na Milima majina ndio maana hata Ziwa Viktoria kabla wenyeji waliliita Nyanza sasa Nyanza tafsiri yake ni Ziwa hivyo siyoJina, hata Kilimanjaro ML. siyo Jina na ndiyo maana Wajerumani waliuuita Wilhelm, hivyo leo umepata kidogo Historia yako, kwa kifupi jina Tanganyika halikuwepo wala kutumika kabla ya Wajerumani kuja, …
 
Ziwa Tanganyika lilibatizwa na Wajerumani kabla ya Wajerumani neno Tanganyika halikuwepo wala halilujulikana na sababu ya kuitwa Tanga-Nyika iilikuwa ni mji wa Tanga ambapo Wajerumani walikuwepo na Nyika ambapo ni msitu katikati ya Tanga na Ziwa kuna Nyika kubwa waka coin Jina Tanga-Nyika au Tanganyika lkn kabla ya hapo halikuwepo Tanga kama Mji ulikuwepo na Nyika ni Msitu hivyo ni Jina la Kiloloni.

Kihistoria kwetu hatukuwa na utamadani wa kubatiza Maziwa au Mito na Milima majina ndio maana hata Ziwa Viktoria kabla wenyeji waliliita Nyanza sasa Nyanza tafsiri yake ni Ziwa hivyo siyoJina, hata Kilimanjaro ML. siyo Jina na ndiyo maana Wajerumani waliuuita Wilhelm, hivyo leo umepata kidogo Historia yako, kwa kifupi jina Tanganyika halikuwepo wala kutumika kabla ya Wajerumani kuja, …
Unajua Kama DRC Kuna Jimbo linaitwa Tanganyika jirani na Hilo ziwa!?..huko Nako wajerumani walipabatiza!?.. nyerere hakuipenda Tanganyika ili kuwa na taifa moja bila nchi ya Zanzibar,yake maneno kwamba haijulijani Tanganyika limetokea wapi si ya kweli
 
Tanganyika ilifanya kosa kubwa sana kuungana na Zanzibar. Maana Muungano uliokuwepo ni wa kipuuzi mpaka basi.

Muungano uliopo ni wa Changu changu, chako changu!
 
Unajua Kama DRC Kuna Jimbo linaitwa Tanganyika jirani na Hilo ziwa!?..huko Nako wajerumani walipabatiza!?.. nyerere hakuipenda Tanganyika ili kuwa na taifa moja bila nchi ya Zanzibar,yake maneno kwamba haijulijani Tanganyika limetokea wapi si ya kweli

Wamechukuwa hilo jina baada ya Ziwa kubatizwa Tanga-Nyika, acha ubishi Tanga-Nyika ilikuwa coined na Wajerumani, isitoshe Majimbo ya Kongo yalianzishwa na Wakoloni kabla ya Ukoloni hakukuwa na Jimbo hata moja Kongo!
 
Wamechukuwa hilo jina baada ya Ziwa kubatizwa Tanga-Nyika, acha ubishi Tanga-Nyika ilikiwa coined na Wajerumani, isitishe Majimbo ya Kongo yalianzishwa na Wakoloni kabla ya Ukoloni hakukuwa na Jimbo hata moja Kongo!
Kwa hiyo Kongo walikua na miji/vijiji lakini havina majina!?..na abushiri namkwawa waliita nchi zao 'tanga na nyika' baadae ya kuja mjerumani!?
 
Kwa hiyo Kongo walikua na miji/vijiji lakini havina majina!?..na abushiri namkwawa waliita nchi zao 'tanga na nyika' baadae ya kuja mjerumani!?

Kabla ya Ziwa Tanganyika kubatizwa jina la Tanganyika hilo Jimbo la Kongo halikuwepo!
 
Kabla ya Ziwa Tanganyika kubatizwa jina la Tanganyika hilo Jimbo la Kongo halikuwepo!
Lilikuwepo,na lini Hilo ziwa lilibatizwa Tanganyika na mjerumani!?..maana mjerumani hakuiita Tanganyika aliiya Dutch ostafrika,mwingereza ndiye aliyeiita Tanganyika
 
Lilikuwepo,na lini Hilo ziwa lilibatizwa Tanganyika na mjerumani!?..maana mjerumani hakuiita Tanganyika aliiya Dutch ostafrika,mwingereza ndiye aliyeiita Tanganyika

Wajerumani waliita Deutsch Ost Afrika nchi yetu pamoja na Rwanda na Burundi, na Ziwa waliliita Tanganyika Waingereza baada yq Vita Kuu na kuipora Deutsch Ost Afrika wakabadilisha jina na kuiita Tanganyika kama Ziwa kama vile walivyoita Kenya na Mlima Kenya.

Hatukuwa na utamaduni wa kubatiza Maziwa au Mito wala Milima na Bahari majina usiwe mbishi na ndio maana Bahari yetu inaitwa Bahari ya Hindi/India au unafikiri ni kwa nini? Au iliitwaje kabla Ukoloni?
 
Wajerumani waliita Deutsch Ost Afrika nchi yetu pamoja na Rwanda na Burundi, na Ziwa waliliita Tanganyika Waingereza baada yq Vita Kuu na kuipora Deutsch Ost Afrika wakabadilisha jina na kuiita Tanganyika kama Ziwa kama vile walivyoita Kenya na Mlima Kenya.

Hatukuwa na utamaduni wa kubatiza Maziwa au Mito wala Milima na Bahari majina usiwe mbishi na ndio maana Bahari yetu inaitwa Bahari ya Hindi/India au unafikiri ni kwa nini? Au iliitwaje kabla Ukoloni?
Wajeeumani walibatiza lini Hilo ziwa!?..mkwawa na abushiri wanazungumzia Tanganyika ipi!?..maana baina ya Tanga na iringa hakuna hili ziwa
 
Back
Top Bottom